Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi

Waislamu wakienda nchi zenye imani zinazopingana na imani za Kiislamu walazimishwe kufuata hizo imani kwa kuheshinu imani za watu wa nchi hizo?

Au hii habari ya kuheshimu imani za watu wa nchi unayokwenda ni special ukienda nchi za Waislamu tu?

Wakristo wa Italy wakianza kuwachapa bakora Waislamu walio Italy kwa sababu Waislamu wanafunga Ramadhan, Wa Italiano hawafungi, wanawataka Waislamu waheshimu imani za Waitaliano za kutofunga Ramadhani, utakubali Waislamu wapigwe bakora na kulazimishwa kula mchana mwezi wa Ramadhani kwa kuheshinu dini za wakazi wa Italy?
Kama unavyopenda kuwanaga wenzako, na wewe hapa umpuyanga na "logical non sequitur"
Zanzibar hakuna mtu analazimishwa kufuata imani ya kiislamu na hivyo hivyo ukiwa mfano Dubai, wazungu wanakuja Zanzibar na wanakwenda Dubai, na wanaheshimu kipindi cha mfungo kutokula hovyo hadharani, na pia kuna mahoteli wanaruhusiwa kwenda kula, na sio kwamba kula hairuhusiwi.


Sasa hapa Zanzibar wapo wakristo tokea enzi na pia wazungu wanakuja kutalii tokea zamani, na wanaheshimu kila wakati wa mfungo kuna sehemu maalumu yakwenda kula na sio kula hadharani.

Ni kipindi cha hivi karibuni Zanzibar kuwa na ongezeko la watu wanaotoka Bara, na wanajiona wanaweza kufanya wanavyotaka bila kuheshimu huu utaratibu.
Ni hivi kama hutaki kuufuta hivyo , ondoka au usije Zanzibar haukulazimishwa, ikiwa wakristo wazawa wa Zanzibar tunaishi nao vizuri tu na pia watalii wanafuata utaratibu,
 
Pole sana.
Znz siondoki kufunga sifungi wala si silimu ,na hela naendelea kupiga kama kawa nyie kalieni uvivu wenu
Sio nyinyi ndio wavivu na huko kwenu mpaka umekosa ajira unakuja huku
Wala usifunge hakuna mtu analazimishwa kufunga, ila tukikukuta unakula hovyo barabarani ni viboko, au fuata utaratibu, kula ndani kwako au kwenye sehemu zilizoruhusiwa
 
Kwa namna unavyoropoka yawezekana hata hiyo Zanzibar unaionaga kwenye picha,Tv na Simu tuu ila hujawahi fika wala kuishi huko.
Watu wanakamatwa ndani,yaani ndani ya nyumba wewe wacha kukurupuka uliza wenyeji.
Pale kanisani walikamatwa wakiwa sehemu ya kula iliyopewa kibali.
Ilikuwa ukikutwa huna sahani unasombwa tuu.
Ila ukifikishwa huko kesi inakuwa kula hadharani
na ndio maana tunaikemea hiyo sheria potofu kwa sababu ya upuuzi kama huo. kwa aina ya akili za watu wa kule italeta hitilafu zaidi kwa watu kujiendea kwa kutenda kama hivi na kuwaumiza wengine bila kujali mazingira ya hao wanaokula.
 
lete ushahidi kama uislam dini ya kikatili.
Kama we mwanaume kweli lete huo ushahidi hapa,laa sivyo niko radhi nikutusi kama

Permitted stealing from unbelievers. (Bukhari 44:668, Ibn Ishaq 764)

Permitted lying. (Sahih Muslim 6303, Bukhari 49:857)

Owned and traded slaves. (Sahih Muslim 3901)

Beheaded 800 Jewish men and boys. (Abu Dawud 4390)

Murdered those who insulted him. (Bukhari 56:369, 4:241)

If then anyone transgresses the prohibition against you,
Transgress ye likewise against him" (Quran 2:194)

Jihad in the way of Allah elevates one's position in Paradise by a hundred fold.
(Muslim 4645)

Married 13 wives and kept sex slaves. (Bukhari 5:268, Quran 33:50)

Slept with a 9-year-old child. (Sahih Muslim 3309, Bukhari 58:236)

Ordered the murder of women. (Ibn Ishaq 819, 995)

Ordered 65 military campaigns and raids in his last 10 years. (Ibn Ishaq )

Killed captives taken in battle. (Ibn Ishaq 451)

Encouraged his men to rape enslaved women. (Abu Dawood 2150, Quran 4:24)

Demanded captured slaves and a fifth of all other loot taken in war. (Quran 8:41)

Was never tortured, but tortured others. (Muslim 4131, Ibn Ishaq 436, 595, 734, 764)
 
kwa muislamu hata kama hajafunga ataona haya kula hadharani lakini kwa asiye muislam aachwe ale hadharani popote pale kama anavyokula siku zingine. kuna visheria vingine ni vya kijinga kama si vya kuleta utengano. zaidi inachoshangaza ni kuwakamata na kuwaadhibu.
karume alileta hiyo sheria zamani lakini pengine shule yake kua ndogo na kukosa exposure plus na kupokea dini kwa mihemko. kuna mambo hayawezi kua applicable kwa zama tuko nazo sasa. mabadiliko ni lazima. ndio maana hata Arabuni kuna amendments kibao kila uchwao. mfano mzuri saudia waliona ni sheria ya kipumbavu kuzuia wanawake kuendesha magari wakafuta. lakini usishangae hata ktk hilo kuna waitikadi kali waliona kama ni makosa.
Ndio maana kule juu nimewaeleza watu uislam hauna sheria hiyo ila Zanzibar kama Zanzibar ndio wana sheria hiyo.
Hivyo hiyo ni sheria ya Zanzibar sio sheria ya uislam.
MAANA WATU WANAUSHUTUMU UISLAM JUMLA.
 
Pole sana.
Znz siondoki kufunga sifungi wala si silimu ,na hela naendelea kupiga kama kawa nyie kalieni uvivu wenu
Inahusiana nini na comment yangu??
Hujakatazwa we ishi kokote upendako.
Mie sio mzanzibari ila hili sakata msihusishe waislam wote.
 
Wakristo wanakula nguruwe, wameambiwa kimuingiacho mtu si haramu bali kimtokacho. Wamepeea agano jipya na kanuni ya upendo.

Pia, nimeongelea zaidi ya Wakristo hiki si suala la Wakristo na Waislamu tu, ninsuala la imaninza watu kuheshimiwa.

Sasa Waislamu wanavyolazimisha watu wasike kwa sababu ya imani zao, wakienda nchi ambazo watu wanakula mwezi wa Ramadhan, na wao Waislamu walazimishwe kuka kwa kuwa inawabidi waheshinu dini za wenzao?

Wakienda nchi ambazo imani zao zinaruhusu kula nguruwe, Waislamu walazinishwe kuka nguruwe kwa sababu ya kuheshimu imani za watu wa hizo nchi?

Nimetaja mpaka India ambako wako Wahindu.

Hujajibu swali hili.

Umeishia kuona false dichotomy ya Uislamu na Ukristo tu.

Unaweza kujadili hojanya kifalsafa bika kuishia kuona fakse dichotomy ya Uislamu na Ukristo tu?

Waislamu wakienda nchi zenye imani zinazopingana na imani za Kiislamu walazimishwe kufuata hizo imani kwa kuheshinu imani za watu wa nchi hizo?

Au hii habari ya kuheshimu imani za watu wa nchi unayokwenda ni special ukienda nchi za Waislamu tu?

Wakristo wa Italy wakianza kuwachapa bakora Waislamu walio Italy kwa sababu Waislamu wanafunga Ramadhan, Wa Italiano hawafungi, wanawataka Waislamu waheshimu imani za Waitaliano za kutofunga Ramadhani, utakubali Waislamu wapigwe bakora na kulazimishwa kula mchana mwezi wa Ramadhani kwa kuheshinu dini za wakazi wa Italy?

Hamuoni kwamba mnachowafanyia hao wasio Waislamu (au watu wasiotakankufuata mfungo wa Ramadhan) Zanzibar kinaweza kufanywa kwa Waislamu walio nchi zisizo za Kiislamu na Waislamu wenzenu wakaumia sana pia?

How stupid and selfish do you have to be to not see this?

Hao Wazanzibari Waislamu wamejaa dunia nzima, ukienda Canada wapo, Uingereza wapo, Marekani wapo, Japan wapo.

Hizi ni Muslim minority countries.

Tuanze kuwapiga bakora huku kwa sababu hawaheshimu dini za wenyeji na wanaamua kuishi kwa mujibu wa dini zao?
Kwa hiyo kiingiacho si haramu,ama kweli nyie ndio maana Viongozi wenu wanaendelea kubariki ndoa za jinsia moja,na mlivyo makafiri sasa hata hampingi pia ndio maana mnaendelea kuwatajirisha Wachungaji wenu pamoja na kulishwa/kunyweshwa na kupakwa vitu visivyo faa.
 
unamaanisha ushoga kama ule wa zanzibar, au upi? si tumesikia zanzibar waziri katangaza kuna mashoka kama alfu tatu na ushee hivi. wote hao wanasodomiana, including yule polisi aliyejirekodi kabisa.
Ila sisi ni wazi tunapinga,wewe ntafutie kiongozi wa KIISLAM ambae ana SAPOTI Ujinga kama huo,haya PAPA yenu kasema mfumuane huko,haya peleka sehemu za kutolea haja kubwa ukafumuliwe.
 
Kwa hiyo kiingiacho si haramu,ama kweli nyie ndio maana Viongozi wenu wanaendelea kubariki ndoa za jinsia moja,na mlivyo makafiri sasa hata hampingi pia ndio maana mnaendelea kuwatajirisha Wachungaji wenu pamoja na kulishwa/kunyweshwa na kupakwa vitu visivyo faa.
Hujajibu swali.

Achana na Wakristo.

Waislamu wakiwa Japan huko, watu wankula nguruwe.

Waislamu walazimishwe wale nguruwe mwezi wa Ramadhani kwa sababu wanatakiwa kuheshimu dini za wenyeji wao?

Kwa nini unakwepa swali hili?
 
Hujajibu swali.

Achana na Wakristo.

Waislamu wakiwa Japan huko, watu wankula nguruwe.

Waislamu walazimishwe wale nguruwe mwezi wa Ramadhani kwa sababu wanatakiwa kuheshimu dini za wenyeji wao?

Kwa nini unakwepa swali hili?
Umeandika Gazeti sina muda mmbovu wa kusoma Gazeti ambalo halina mashiko haya
Hujajibu swali.

Achana na Wakristo.

Waislamu wakiwa Japan huko, watu wankula nguruwe.

Waislamu walazimishwe wale nguruwe mwezi wa Ramadhani kwa sababu wanatakiwa kuheshimu dini za wenyeji wao?

Kwa nini unakwepa swali hili?
Hamna akili sina muda wa kusoma Gazeti mtafute jamaa anae itwa MKWAWE kisha kasome andiko aliloandika NOV 17
 
Ila sisi ni wazi tunapinga,wewe ntafutie kiongozi wa KIISLAM ambae ana SAPOTI Ujinga kama huo,haya PAPA yenu kasema mfumuane huko,haya peleka sehemu za kutolea haja kubwa ukafumuliwe.
Huyo ndie mbora katika ushoga.

Muhammad claimed homosexuality was wrong, he himself was involved in homosexual behavior.

Jami` at-Tirmidhi 2732,Narrated 'Aishah: A man kissing Muhammad's bare chest.

"Zaid bin Harithah arrived in Al-Madinah while the Messenger of Allah was in his house. So he went and knocked at the door, so the Messenger of Allah stood naked, dragging his garment - and by Allah! I did not see him naked before nor afterwards - and he hugged him and kissed him."

Muhammad dragged a boy into his tent and sodomised him, his followers standing outside heard the screams of the boy.
 
Umeandika Gazeti sina muda mmbovu wa kusoma Gazeti ambalo halina mashiko haya

Hamna akili sina muda wa kusoma Gazeti mtafute jamaa anae itwa MKWAWE kisha kasome andiko aliloandika NOV 17
Wewe hujui kusoma kubali tu. Usisingizie gazeti.

Hujasoma.

Ni ngumbaru.

Ndiyo maana hata nikiandika maneno mawili tu, "minority rights", huyaelewi.
 
ninachoshangaa, unasema kula mwezi wa ramadhani ni ushetani, bila kujua kuwa uislam wenyewe ni ushetani. au tukufafanulie zaidi huo ushetani? utakuwa tayari kupata za uso?
Na wao nao wanaona kumwita yesu ni Mungu ni ushetani kabisa .
 
Kuhusu watu kuadhibiwa kula hadharani ZANZIBAR hilo naliunga mkono.Imani za watu ziheshimiwe

Unajua nashindwa kuelewa watu wanatokwa na povu kwa suala dogo kama hili kwani haswa wakati taratibu za wenzetu zipo wazi?

ZANZIBAR hakuna aliyelazimishwa kufunga ispokua utaratibu wa kule unakataza mtu kula hadharani hasa kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan

Na mnajua ZANZIBAR asilimia 99.999 ni waislam, na lazima tamaduni za watu ziheshimiwe kama unataka kula mchana we kula tu lakini sio vizuri kula hadharani maana yake utakua unafundisha nini jamii?

Kwa huku bara hata mtu ukila ni sawa tu maana humu tumechanganyikana watu wa dini tofauti ZANZIBAR wengi ni waislam na nashangaa watu mnatokwa na mapovu kwenye hili

Ni ushetani mkubwa kutokua na haya na kwenda kula public mwezi wa ramadhan katika jamii ambayo ni waislam watupu kwanini usitafute mahala kwako au ndani kwako ukala?Kwanini ule hadharani?

Kuna mtu kahoji kwahiyo mbona sisi kwaresma huwa hatuwagusi waislam ambao unakuta hawajafunga?Swali ni mkristo yupi anafungaga kwaresma?Mimi nimekulia sehemu zenye Christian majority sijawahi kuona mtu kafunga hata kwa bahati mbaya....Kwahyo msipende kucompare dini za watu, kama mnaridhika imani zenu kuchezewachezewa kwasababu zishakua "imani cheap" ni nyie ila sio uislam.

Uislam sio dini ya masihara na mchezomchezo ndo maana ndo dini inakua kwa kasi kidunia na ipo tokea karne pamoja na kupigwa vita vya kimwili na kiroho.Watu washaacha dini yao ishaharibiwa huko na kuchezewa vya kutosha sasa wanataka uislam iwe dini ya hivyo hilo No!!

Mnaotokwa na mapovu kuhusu sakata la kula kumbukeni ZANZIBAR asilimia 99 ni waislam kwahyo tamaduni za walowengi ziheshimiwe..

Kama ulikua na mikiu yako ya kula minguruwe yako ungeenda kujifungia ndani ule kwa raha zako!! Msipende kuwaponza waliofunga!!Mimi naunga mkono wachapwe tu.kila mtu aheshimu imani ya mwenzake kama ambavyo yake huheshimiwa.

Binafsi yangu nimeishi kwenye jamii nyingine ambazo ni za imani tofauti na mimi au tamaduni tofauti ila nilifanikiwa pakubwa kuishi nao kwasababu niliishi kwa kutii taratibu zao na mambo yalienda vizuri tu.
Usiliunge mkono tu uwarabuni ndio DINI ilipo lakini Watu Wanakula na bakora hawapigwi,au kingemkuta ndugu yako ungeunga mkono??? Watanzania hatujika huko hawa Wazenji Wanaona kuwa weupe ndio waaribu kumbe Kama hujii wazanzibar wana ubaguzi sana wa rangi.
 
Kwa hiyo kiingiacho si haramu,ama kweli nyie ndio maana Viongozi wenu wanaendelea kubariki ndoa za jinsia moja,na mlivyo makafiri sasa hata hampingi pia ndio maana mnaendelea kuwatajirisha Wachungaji wenu pamoja na kulishwa/kunyweshwa na kupakwa vitu visivyo faa.
Nipe maandiko yanayo kataza kula nguruwe?
 
sidhani kama tunatakiwa kuwalaumu sana,kwasababu ndivyo dini yao inavyosema, ni dini ya kikatili, isiyo ya amani, na nawaasa wakristo na wengine wasio waislam kuikimbia hii dini kuliko chochote. matendo yao yanadhihirisha ni aina ipi ya mungu wanamwabudu. huu ndio ukweli mchungu kwao.
Ukristo umeua kuliko dini yoyote je unafahamu hilo au unaongea tu?
 
Nipe maandiko yanayo kataza kula nguruwe?
Kutoka katika Quran tukufu “Yeye amekuharimishieni mzoga na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu.” (al-Baqara, 2/173; an-Nahl, 16/115)
“Mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa si kwa ajili ya Mwenyezi Mungu,...” (Surah al-Maeda, 5/3)
“Sema: Sioni katika yale niliyo funuliwa mimi kitu kilicho haramishwa kwa mlaji kukila isipo kuwa kiwe ni nyamafu, au damu inayo mwagika, au nyama ya nguruwe, kwani hivyo ni uchafu; au kwa upotofu kimechinjwa kwa jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu.” (al-Anaam, 6/145)
Kutoka kwenye Agano la kale
Agano la Kale katika Biblia imekataza ulaji wa nguruwe na akafanywa kuwa ni haramu: “Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).
 
Back
Top Bottom