MKATA UFUTA
Member
- Jul 1, 2012
- 21
- 3
Kwenye hili la mwanza nionavyo mimi,kamati kuu na tume iliyotumwa mwanza vimeshindwa kutambua kiini cha mgogoro uliopo. Ukweli ni kuwa, chadema mwanza kunaviongozi wasiopenda mawazo mbadala na kukosolewa. Hivi wamejiuliza kwanini huko nyuma kuliibuka jumuia ya vijana chadema ilihali kuna BAVICHA? Hiv nikwanini kwenye kila issue imuhusuyo WENJE DIBOGO watuhumiwa wanahukumiwa bila ya kusikilizwa?
Napenda kuwapa ushauri wa bureee!!! CHADEMA TAIFA, muache mapenzi yaliyopitiliza kwa WENJE. Chunguzeni kiini cha tatizo. Au ndo kusema nanyi mnaunda CCM mpya? Hayahaya ndo yaliwandoa KAFULILA na MACHALI toka CHADEMA.
Kibaya zaidi mh Dk SLAA, yawezekana ukawa ndo chanzo cha fukuto lote hili, hasa kaulizako ulizozitoa TAI5,( kwa ustawi wa chama sitapenda kuzitoa huma)
Kivyovyote vile, CHADEMA mwanza kuna matatizo yanayoijtaji utatuzi wa haki na busara.Tusiishie kutoa majibu mepesi eti mapandikizi (we need to think deep) yawezekana anayetuhumu wenzake kuwa mapandikizi, yeye ndo pandikizi la ukweli
Napenda kuwapa ushauri wa bureee!!! CHADEMA TAIFA, muache mapenzi yaliyopitiliza kwa WENJE. Chunguzeni kiini cha tatizo. Au ndo kusema nanyi mnaunda CCM mpya? Hayahaya ndo yaliwandoa KAFULILA na MACHALI toka CHADEMA.
Kibaya zaidi mh Dk SLAA, yawezekana ukawa ndo chanzo cha fukuto lote hili, hasa kaulizako ulizozitoa TAI5,( kwa ustawi wa chama sitapenda kuzitoa huma)
Kivyovyote vile, CHADEMA mwanza kuna matatizo yanayoijtaji utatuzi wa haki na busara.Tusiishie kutoa majibu mepesi eti mapandikizi (we need to think deep) yawezekana anayetuhumu wenzake kuwa mapandikizi, yeye ndo pandikizi la ukweli
Ccm igeni cdm.waloshindikana fukuza.chagulani ana uroho wa madaraka.amia kwa nape