Waleteni watoto wadogo waje kwangu, pole sana Russian lakini jipe moyo malaika huyo yupo mikono salama kabisa ya Allah S.W. Shida ipo kwa sisi watu wazima, ni bora kifo hicho kikawa mawaidha kwako kuelekea kumcha Mola wako. Narudia tena, pole sana.Pole sana dear.....RIP little angel.....