Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
Maty,
Huyu dada anasema ni muumini mzuri sana na amekuwa akiomba kipindi chote cha matatizo yake. Na bado anaendelea kuomba. Kwa sasa ameamua kutulia na kuendelea kusali kanisa lake la zamani..Katoliki.
Swali ambalo binafsi linanisumbua...aendelee kusali, kuomba na kufunga hadi lini?
anaomba sana lakini hana imani kaka DC mimi nishawahi kutokewa na matatizo yaliyonisumbua nikawa naomba kwa imani na kila ambacho nilimuomba mungu alifanya tena bila mimi kutarajia wakati mwingine mungu anapokaribia kufanya jambo unaona dunia yote ndio inaanguka kumbe ndio wakati ambao mungu anataka kufanya vitu vyake. Asikate tamaa najua ni ngumu sana ila ajitahidi