ishu za wamama cku hizi kukimbizana na watoto kuhama zimepitwa na wakakti, abanane hapo mpaka kieleweke...
Nyamayao umeongea point abanane hapo hapo, mpaka kieleweke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ishu za wamama cku hizi kukimbizana na watoto kuhama zimepitwa na wakakti, abanane hapo mpaka kieleweke...
hii ndoa imeingiwa na kidudu mtu kaka angu tena huyo dada ana afadhali mume anatoa matumizi wengine huwa wanakimbiwa kabisa hawapati matumizi wala watoto hawahudumiwi
Dena Amsi, kuna wanaume wanajua kununa usiombe, kuna jamaa namfahamu kwa kununa ndo mwenyewe mpaka huwa najiuliza hivi huko nyumbani kwake inakuwaje kwa mke wake, kwa hiyo wala usimshangae huyo anaemnunia mkewe.
na chakula cha ucku anakipata?.....hizo ishu za kuondoka home ckubaliani nazo, y aondoke?
ishu za wamama cku hizi kukimbizana na watoto kuhama zimepitwa na wakakti, abanane hapo mpaka kieleweke...
Maty,
Una maana aendelee kukaa home na waendelee kuchangia kitanda kimoja kama maiti walioko kwenye friji ya mochuari?
ishu za wamama cku hizi kukimbizana na watoto kuhama zimepitwa na wakakti, abanane hapo mpaka kieleweke...
Maty,
Hiyo haina ubishi kuwa kwani huyu mama ana ushahidi wote kwamba mume ana watu wengine wa nje. Anasema aliwahi kusome sms kwenye simu ya mume akataka kufa kwa vitu alivyokutana navyo. Hata hivyo anashindwa kuelewa kwa nini pamoja na kuamua kuvumilia mwanamume anamfanya kama vile siyo binadamu?
babu kama ana wanawake wa nje mbona kazi yake inakuwa rahisi hapo, wanawake wa nje ni balaa wengine wako radhi hata wakaroge mradi amshikilie mumewe cha msingi yeye ni kukazana na maombi tu kwa sababu shetani kasimama katikati ya hiyo ndoa
DC, ukweli kisa hiki kinasikitisha, pia hata kuogopesha kuingia kwenye ndoa. Huyu dada mpe pole zake pia mshauri, akiwa kama mwanamke anatakiwa kua na hekima na maarifa, na awe mtu wa kutunza siri, alichokosea huyo dada ni kuhama makanisa na kila anapoenda anawaeleza watumishi. Anatakiwa kujua hata watushi wa mungu ni binadam kama wengine na wanamadhaifu yao, na baadhi yao hawana siri, na hicho ndo kinamcheleweshea muujiza wake. Mungu wetu ni mwaminifu sana na kwakua ana ndoa na huyo kaka anatakiwa asimame kwa imani yake na mungu hua anasikiliza sana maombi ya mwanamke mwenye haki, kuna mistari kwa bible ya kusimamia. Ki ukweli ajue kuna mtu sehem kamshika huyo baba, chakufanya anatakiwa na yeye abadilike awe strong na yeye vitu vyake aweke pswd si kwa mashindano, akirudi home amkute mwenye furaha yuko busy na mambo yake kama haumoni vile, awe msafi avae vizuri abadilishe mavazi askae kimama mama, sio analia anasali mpaka anapauka, yeye avumilie tu na amwambie mungu wake nitavumilia mpaka mwisho ila mungu mfungue mume wangu. Ajaribu kuongea na mungu wake kama anaongea na mtu hapo karibu, amwambie mungu nataka uirudishe ndoa yangu kama kweli wewe mungu uliiamuru mifupa mikavu kuishi ukaipa pumzi na ikaishi na mimi nataka ndoa yangu iishi. Nashetani urudishe kila ulichokiiba kutoka kwangu na avitaje, ndoa yangu, kuaminiwa na mume wangu, kuheshimiwa na unyumba wangu rudisha shetani, then asimame na zaburi ya 2.8na9 amtenganishe mume na huyo anaemfunga. Amwambie mungu unaekataa kuachana na kufarakana sitaki kumuacha mume wangu, na umenipa kumiliki na kutawala, kuanzia leo mpaka mwisho nitammiliki mume wangu na kutawala kila kilicho chake, kwani hata ufalme wa mungu hupatikana kwanguvu walio dhaifu hawata uona. Amwambie mungu afanye, na amshushe kiburi mumewe kila jambo livurugike na atarudi. Ukweli sijaolewa bado ila nadhani ajaribu njia hii na atunze siri yake, aorodheshe anavohitaji na akomae kwenye nyumba yake, atafute pesa kidogo ampeleke dinner mumewe, akirudi amuombe unyumba yeye mwenyewe na akibubali asifanye makosa tena ampe style tofauti, inaruhusiwa kua malaya kwa mumeo fanya kama machangu poa tu mradi asivuke mipaka, anunue vizawadi vya hapa na pale ampe, hiyo pia ni moja ya maarifa ya kumrudisha. Ni hilo tu ila mungu hashindwi na jambo.Hii ni story ya mwanamke mmoja ambaye nimekutana naye katika harakati za kupeana ushauri wa kutatua matatizo yanayotusibu katika mahusiano. Amekubali niiweke hapa ili kupata maoni ya wadau. Matatizo yake ni mengi sana ila kwa ufupi ni kama ifuatavyo:
1. Suala na unyumba katika ndoa yao yenye umri wa karibia miaka 4 wakiwa na watoto 2, limekumbwa na ukame wa ajabu. Wanashiriki tendo la ndoa kama mara 2 tu kwa mwezi na ni lazima mume atake. Mwanamke akiomba anaambiwa kuwa mume hawezi kufanya tendo la ndoa mara kwa mara. Wakati wa uchumba wao na siku za awali za ndoa yao, walikuwa wakishiriki tendo la ndoa hata zaidi ya mara 2 kwa week na wote waliliridhika na kufurahia tendo hilo. Hali ilianza kubadilika baada ya kama miaka 2 hivi. Mbaya zaidi hata kama mmoja akirudi safari baada ya kukaa kwa muda mrefu kiasi cha week nzima au zaidi, bado hakuna uhakika wa tendo la ndoa!
2. Mawasiliano ndani ya nyumba hasa hasa yale ya kimahaba nalo limekuwa tatizo. Yaani ni kama vile wanaishi maktaba. Muda mwingi mume akiwa nyumbani anacheza na simu yake akituma na kupokea sms kutoka kwa watu tofauti. Pia mume akiwa nje na jamaa wengine anakuwa mchangamfu sana, akiongea na vicheko juu.
3. Vitu vingi vya mume vimefunigiwa katika mkoba (brief case) wenye password ambayo mke hajui. Pia mume anazo account za benki ambazo mke wake hazijui kabisa. Na simu za mume zimewekewa password ingawa vitu vyote vya mke ikiwemo simu, account za bank n.k viko wazi na mume anavivinjari wakati wowote anaopenda.
4. Ni nadra kwa mume kukubali na kusifia (to appreciate) kitu alichokifanya mke. Na mara nyingi anamkatisha tamaa katika mipango yake anayomshirikisha.
Kutokana na haya matatizo na mengine mengi, huyo mama amekosa raha muda mrefu na aliwahi kufikiria kujidhuru (got closer to attempt suicide) ila kwa sasa ameamua kutafuta ushauri ama wa kuokoa ndoa au maisha yake. Amesali sana, amfeunga sana na kubadili makanisa kama nguo za mashidano ya mavazi lakini bado nazunguka pale pale. Kwa hiyo wadau nawaomba ushauri wenu ili niongeze kwenye package ya counseling ninayoendelea nayo kwa sasa.
Wasalaam, ....Babu DC
Mimi nilidhani avae bukta na kuwa ngangari kama nyama yao ili kieleweke. Na hata mume akiamua kuendelea kufanya mambo yake nje lakini awe na nidhamu.
DC, ukweli kisa hiki kinasikitisha, pia hata kuogopesha kuingia kwenye ndoa. Huyu dada mpe pole zake pia mshauri, akiwa kama mwanamke anatakiwa kua na hekima na maarifa, na awe mtu wa kutunza siri, alichokosea huyo dada ni kuhama makanisa na kila anapoenda anawaeleza watumishi. Anatakiwa kujua hata watushi wa mungu ni binadam kama wengine na wanamadhaifu yao, na baadhi yao hawana siri, na hicho ndo kinamcheleweshea muujiza wake. Mungu wetu ni mwaminifu sana na kwakua ana ndoa na huyo kaka anatakiwa asimame kwa imani yake na mungu hua anasikiliza sana maombi ya mwanamke mwenye haki, kuna mistari kwa bible ya kusimamia. Ki ukweli ajue kuna mtu sehem kamshika huyo baba, chakufanya anatakiwa na yeye abadilike awe strong na yeye vitu vyake aweke pswd si kwa mashindano, akirudi home amkute mwenye furaha yuko busy na mambo yake kama haumoni vile, awe msafi avae vizuri abadilishe mavazi askae kimama mama, sio analia anasali mpaka anapauka, yeye avumilie tu na amwambie mungu wake nitavumilia mpaka mwisho ila mungu mfungue mume wangu. Ajaribu kuongea na mungu wake kama anaongea na mtu hapo karibu, amwambie mungu nataka uirudishe ndoa yangu kama kweli wewe mungu uliiamuru mifupa mikavu kuishi ukaipa pumzi na ikaishi na mimi nataka ndoa yangu iishi. Nashetani urudishe kila ulichokiiba kutoka kwangu na avitaje, ndoa yangu, kuaminiwa na mume wangu, kuheshimiwa na unyumba wangu rudisha shetani, then asimame na zaburi ya 2.8na9 amtenganishe mume na huyo anaemfunga. Amwambie mungu unaekataa kuachana na kufarakana sitaki kumuacha mume wangu, na umenipa kumiliki na kutawala, kuanzia leo mpaka mwisho nitammiliki mume wangu na kutawala kila kilicho chake, kwani hata ufalme wa mungu hupatikana kwanguvu walio dhaifu hawata uona. Amwambie mungu afanye, na amshushe kiburi mumewe kila jambo livurugike na atarudi. Ukweli sijaolewa bado ila nadhani ajaribu njia hii na atunze siri yake, aorodheshe anavohitaji na akomae kwenye nyumba yake, atafute pesa kidogo ampeleke dinner mumewe, akirudi amuombe unyumba yeye mwenyewe na akibubali asifanye makosa tena ampe style tofauti, inaruhusiwa kua malaya kwa mumeo fanya kama machangu poa tu mradi asivuke mipaka, anunue vizawadi vya hapa na pale ampe, hiyo pia ni moja ya maarifa ya kumrudisha. Ni hilo tu ila mungu hashindwi na jambo.
mwambie apime,kama kubaki kny hio ndoa ambayo iko half dead,kama kuna faida kuliko kuondoka...
kama atleast huyo mwanaume bado anawajali wanae i mean anatimiza wajibu wake kama baba then abaki for the sake of her children...
otherwise naona ni lack of communication between them ndio tatizo,hivi inakuwaje mpk mumeo anajifanyia mambo yake unashindwa hata kumuuliza???...mpaka mnaoana si mnakuwa mmezoeana vya kutosha kama best friends???..mwambie huyo dada avunje ukimya amuulize mumewe kwa nini anabehave anavyobehave....!
Ahsante sana Mkuu,
Mama anafanya kazi na yuko busy sana kwa hiyo hapotezi muda mwingi kanisani. Ila anasema anajitahidi mwisho wa week kuhakikisha anafanya kazi za home mwenyewe ikiwemo kupika n.k. Anachoshangaa ni kuwa kama kuna wageni wanaweza kusifia usafi wa nyumba, chakula n.k ila mume hata siku moja hawezi! Inamuuma sana huyo mama!
Kama itagundulika kuwa ndivyo,basi ni rahisi kdogo kuandaa approach ya kumkalisha na kumuuliza, tofauti na hivyo ataruka kiunzi na kukataa kbsa.
Huo ni upande mmoja wa baba, lkn labda mama nae ana matatizo yake ambayo hajasema?...