Please Kikwete, just resign

ni ngumu kwa kiongozi ambaye ni mroho wa madaraka kuresign na wala tusifikrie kama huyu mkuu wetu wa kaya atakuja kufanya hivyo na siku akifanya kaa ukijua bei ya petrol itakuwa Tshs 700 kwa lita amini nawaambieni..
 
Muasisi wa taifa hili aliwahi kusema" ukiwa kiongozi, kazi yako ni kuwaongoza watu, lakini uwaambie ukweli wale unaowaongoza ni wapi unakowapeleka, usiwadanganye kuwa unakowapeleka kuna barabara ya lami, wakati ukeli unajua mnaelekea msituni.

Ni afadhali uawambie ukweli ili wale wenye viatu vyao wasije wakaviacha, halafu wakifika mbele wakakuta miiba" Huyu JK atuambie tu, tumekataa RINCHMOND, akatuzunguka akaanzisha Dowans,tulipoipinga akaja na mpya akamwalika mama Clinton akaja kuzindua SYMBION, haya yote ni majina lakini hakuna nati hata moja iliyonunuliwa mpaya kubadili iliyokuwepo kweneye mitambo ya RICHMOND, huyu mtu kweli kama hatupeleki korongoni ni wapi anatupeleka?

Nilipenda kauli yake na ya BIll Ngereja kuwa mgawo wa umeme utakuwa historia- kumbe maana yao halisi, TUTAPATA MGAO MKUBWA KWA KIWANGO AMBACHO HATUJWAHI KUKIPATA TANGIA TUITWE TANZANIA- NA NDIYO YANAYOTOKEA SASA. mara gridi ya Taifa, mara mitungi ya SONGAS, ,mara IPTL sijui nini kitafuata zaidi.

Watanzania tumejitakia wenyewe na sasa tuwewavumilivu mpaka mwisho wa dahali
 
Kidatu ndugu yangu, Kikwete kama mtu sina shida nae na wala simchukii hata kidogo.

Umekiri mwenyewe kuwa kuongoza watu million 40 si kazi ndogo. Kwa maana hiyo unahitajika umakini. Lakini Kikwete amethibitisha kuwa si kiongozi makini hata kidogo. Hebu jiulize, vitu vidogo vidogo kama kupunguza tu matumizi yasiyo na tija kutokana ukubwa wa baraza la mawaziri, magari ya kifahari na posho hawezi kuamua ataweza kufanya maamuzi gani yanayoashiria ubunifu? Basi angalau aanze na hayo ambayo ni rahisi, anaona ugumu gani?
Haya ya mashangingi na posho hivi ni nani hasa muasisi wake? Ni JK? BM? AM? JN? Thats why we are doubting about your thinking capability.
 
jiuzulu kwanza wewe uliyemchagua! ...samahani lakini namaanisha ni kama watu wa Mwanza wangelishindwa kumlinda Wenje akachakachuliwa alafu sasa hivi wamwambie Masha 'jiuzulu'. Makosa tunayo sisi na tunaendelea nayo.
 
Who are you representing "in doubting my thinking capability" to justify your "we"? As for your rhetoric, if you do a simple research you'll find that during the JKN administration there were designated government vehicles that you would never equate with the current impunity.For the sake of argument and following your implied logic inherent with your question, does it mean the current impunity should go on simply because jk inherited the practice?I don't doubt your thinking and reasoning capabilities. I AM CERTAIN OF IT.
 
tumelalamika sana, na tena sana! Maneno hayamzuii kuendelea kufanya analolifnya. Tunataka 'action plan'!
Muasisi wa taifa hili aliwahi kusema" ukiwa kiongozi, kazi yako ni kuwaongoza watu, lakini uwaambie ukweli wale unaowaongoza ni wapi unakowapeleka, usiwadanganye kuwa unakowapeleka kuna barabara ya lami, wakati ukeli unajua mnaelekea msituni. Ni afadhali uawambie ukweli ili wale wenye viatu vyao wasije wakaviacha, halafu wakifika mbele wakakuta miiba" Huyu JK atuambie tu, tumekataa RINCHMOND, akatuzunguka akaanzisha Dowans,tulipoipinga akaja na mpya akamwalika mama Clinton akaja kuzindua SYMBION, haya yote ni majina lakini hakuna nati hata moja iliyonunuliwa mpaya kubadili iliyokuwepo kweneye mitambo ya RICHMOND, huyu mtu kweli kama hatupeleki korongoni ni wapi anatupeleka? Nilipenda kauli yake na ya BIll Ngereja kuwa mgawo wa umeme utakuwa historia- kumbe maana yao halisi, TUTAPATA MGAO MKUBWA KWA KIWANGO AMBACHO HATUJWAHI KUKIPATA TANGIA TUITWE TANZANIA- NA NDIYO YANAYOTOKEA SASA. mara gridi ya Taifa, mara mitungi ya SONGAS, ,mara IPTL sijui nini kitafuata zaidi.
Watanzania tumejitakia wenyewe na sasa tuwewavumilivu mpaka mwisho wa dahali
 
jiuzulu kwanza wewe uliyemchagua! ...samahani lakini namaanisha ni kama watu wa Mwanza wangelishindwa kumlinda Wenje akachakachuliwa alafu sasa hivi wamwambie Masha 'jiuzulu'. Makosa tunayo sisi na tunaendelea nayo.
Ndugu,Kudai kwako kwamba mie nilichamgua naamini umeamua kunitukana
 
I simply mean uongozi umemshinda. Si lazima aharibu zaidi kwa ajili tu ya kumaliza muhula wake wa pili
Nakubaliana nawe kabisa mtoboasiri. Uongozi umemshinda JK na hili dua letu la kuku la kumtaka ajiuzuru nadhani ndo dua sahihi kwa haya tuliyomo sasa. Ila kama nilivyosema hili ni dua la kuku tu, halimpati mwewe hata siku moja. jamaa hawezi kujiuzuru hata kidogo.

Kwanza kujiuzuru ni hatua ya juu sana ya uelewa ambayo naamini kabisa JK hana uelewa huo na bahati mbaya sana hatokuwa nao asilani.

Pili kwa hulka yake ya kupenda sifa, hawezi kujiuzuru hata siku moja. Ajiuzuru halafu anyooshewe kidogo kuwa yule ndo rais mchemkaji kuliko wote waliowahi kutokea Tz? Bora ang'ang'ane hivyo hivyo na kinga ya dola atembeayo nayo mpaka mwisho wa safari yake, iwe yale ya Mungu au ya Katiba.

Tatu si msafi na kwa kuondoka kidesign hii lazima yeye na wanaoshikilia dola watasakamwa na utawala ujao. Hivyo bora wabaki wenyewe na wafanye juu chini ili ajae nae awe 'friendly' kwao ili waendelee kufurahia matunda ya yote waliyojinufaisha nayo.

Hamna kitu hapa
 
ajiuzuru ushike wewe nchi? acha upumbavu kijana. hii ndio faida ya kuingia JF baada ya bia za harusi.
Kama ni UPUMBAVU wewe ni haswaaaa!! kwa sababu hujui wala mbadala wa Rais aliyeleta majanga ambayo hatukutegemea toka uhuru!
NCHI GIZA TOTORO!WEZI KATIKAKATI YA BARAZA LAKE, WENGINE WAPIGA DEBE WAKE. TAFUTA HATA KUKU ATATUNUSURU LAKINI SIYO HUYU MSANII. GRRRRRRRRRRRRRRRRR!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
The comedy ile ya mjengoni, eti wamepunguza kodi za mafuta, mbona bei ni ile ile? CDM anza tujimwage barabarani. sarari hii tunataka mkuu wa kaya ajiuzuru. Maisha magumu, ukosefu wa nishati,
inflation, etc. jamaa utadhani yuko mskule huku akichekacheka
 
The comedy ile ya mjengoni, eti wamepunguza kodi za mafuta, mbona bei ni ile ile? CDM anza tujimwage barabarani. sarari hii tunataka mkuu wa kaya ajiuzuru. Maisha magumu, ukosefu wa nishati,
inflation, etc. jamaa utadhani yuko mskule huku akichekacheka

mskule utatufaa zaidi manake tutau-guide vizuri zaidi. Hili janga la taifa tulilowekewa kwa lazima na usalama wa taifa, linatumaliza kama Taifa. na kibaya zaidi, litaendelea kuwepowepo tu mpaka 2015 au Mungu atunusuru kwa uweza wake..... hali ni mbaya sana waTz
 
Mtoboasiri, nini maana ya uongozi?. Ni rahisi sana kuandika, kusema na kulalamika, lakini kile kiti si mchezo ndugu yangu. Kuongoza watu zaidi ya millioni 40 si kazi ndogo hata kidogo?. Tungetoa mawazo nini kifanyike pale tunapoona kumefanyika makosa ingesaidia zaidi kuliko kutoa kashfa. Tuna uhuru wa kusema ama kuandika mawazo yetu hasa katika kipindi hiki cha JK. Ni vyema kutumia nafasi hii vizuri.
Hili la kusema anaongoza watu zaidi ya milioni arobaini ni nonesense!Unataka kunambia anawajali wananchi wote milioni arobaini?Maana kuwaongoza watu usiowajali si oungozi wa watu hao.Hakuna mipnago ya kitaifa yenye kuonyesha anaijalia nchi yenye watu milioni arobaini.Fuatilia uone ni kina nani hao anaowajali,halafu uniambie kama wanafikia milioni ngapi.Msitudanganye.Mwache Mtoboa siri aendeleee kutoboa siri.
 
Yaani ni bora hata Yusuf Makamba angekua ndiye raisi wa nchi hii kuliko JK!
 
I wish he had so much balls to do what you are suggesting Mtoboasiri,

i think what we need to ask ourselves ni if we have the balls the kumface na kumwambia aondoke. kama hataki tumtoe. those are the balls walizokuwa nazo Tunisians, Egyptians, Yemenis, Syrians etc. if we dont have the balls, basi tuwaazime jamaa zetu waarabu tulionao nchini watangulie nasi tutawafuata na kumaliza mzizi wa fitina. vinginevyo, basi tukae kitako tusubiri nchi ioze na kuoza na kuoza nasi tufunge midomo!!! empty complaints huku watu wanateketea hazimsaidii yeyote
 
Hakuna fitina wala majungu hapa. Ukweli unaonekana kwa kila mtu anaetaka kuuona Hali inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Kikwete nchi imemshinda, hana uwezo wa kuongoza na hii si siri hata kidogo.

Kwa kuongeza to: toka Mwaka 2006 mpaka leo nchi iko kwenye mgawo wa umeme; WB wanasema uchumi umekuwa bila kelezea umasikini (gap kati ya masikini na matajiri) imepungua kwa kiasi gani. Walisema mafuta yatashuka lkn mpaka sasa hakuna dalili. Eti hata mafuta ya taa yako kwa bei ya zaidi ya tzs 2000. Wengine tunaishi huku vijiji na hali ni Mbaya. Mkuchika asema lake, chiligati asema lake, Nepi mnauye asema laki. Kiwete kakaa kimya. This guy has to go. I have had it up my neck!
 
If the President fails to execute the presidency, impeachment may be lasting solution, but it’s not easy task it may take years. We voted blindly we are paying the price. African leaders don’t resign they stay put like a grease. Resignation is not in their vocabulary
 
If the President fails to execute the presidency, impeachment may be lasting solution, but it's not easy task it may take years. We voted blindly we are paying the price. African leaders don't resign they stay put like a grease. Resignation is not in their vocabulary
Don't put Tanzanians under the generalisation of 'we voted blindly'. Tanzanians did not vote JK in, instead coup d'tar orchestrated by Usalama wa Taifa, took place and Tanzanians president of choice was denied his deserved victory for fear, hunger and power mongering of the ruling party and the 'those who think that opposition shall never rule this country'.

I would not have much problem, except for democrary, if after such a coup, the declared president would have performed better and possibly different from the first phase. this would have shown that he has learnt his lesson and now the country is back kwenye mstari. But as it is, things are getting worse and will continue becoming worse.

What's the point of keeping the person who is not the choice of his electorates? It is our country that is the end loser of all this. No wonder hawa sio usalama wa taifa bali usalama wa watawala. If they had this country at heart, they wouldn't have allowed a person lacking legitimacy to retain presidency of our country
 
Don't put Tanzanians under the generalisation of 'we voted blindly'. Tanzanians did not vote JK in, instead coup d'tar orchestrated by Usalama wa Taifa, took place and Tanzanians president of choice was denied his deserved victory for fear, hunger and power mongering of the ruling party and the 'those who think that opposition shall never rule this country'.

I would not have much problem, except for democrary, if after such a coup, the declared president would have performed better and possibly different from the first phase. this would have shown that he has learnt his lesson and now the country is back kwenye mstari. But as it is, things are getting worse and will continue becoming worse.

What's the point of keeping the person who is not the choice of his electorates? It is our country that is the end loser of all this. No wonder hawa sio usalama wa taifa bali usalama wa watawala. If they had this country at heart, they wouldn't have allowed a person lacking legitimacy to retain presidency of our country

Then, don't expect miracles from the guy who cheated election, the worse are in pipeline.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom