MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,320
- 6,376
hivi hii safari si Zuma kalipia au? Manake si yeye ndiyo kamwalika?
Jamani msishanage yaani hali ni mbaya sana maana ni bora tuanze hata kuona hizi safari za mkuu wetu zisitishwe kwanza tuongezee hela tununue mtambo huo wa Megawatts 100. Kulala giza usiku mzima na watoto wadogo utafikiri tupo Jehanam inakera sana tena sana.
Sasa hivi mwanangu wa miaka 2 umeme ukikatika tu anaanza kulia -- baba memeeee, baba memeeee - inauma sana hii kitu. Baba yake na mi nguvu ya kununua generator sina basi kero tupu.
Mkuu Fuso hapo kwenye nyekundu hata mwanangu mwaka mmoja miezi nane nae umeme ukikatika anasema hivyo hivyo umeme umeme !