MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
- Thread starter
- #41
Mwanamke anayependwa na babu:
1. Awe mzuri wa sura (babu ana kaugonjwa ka kupenda sura...makalio, miguu et el ni added advantage)
2. Awe muwazi na mkweli (Akiwa mwongo, babu naye ni mwongo sana, na mwongo anamjua mwongo mwenzie.....hatutawezana)
3. Asiwe afisa mpelelezi (kila saa vimeseji/kupigiwa simu kuulizwa uko wapi..... unarudi saa ngapi...unafanya nini agggrrrrr)
4.Awe na heshima (aheshimu maamuzi yangu, awaheshimu watu wengine, asiwe na dharau)
5. Awe msafi (wa mwili na wa baioloji yake na vyote viizungukayo baiolojia yake, ajue kujiremba na kuvaa vizuri)
6. Awe na kipato au mwelekeo wa kujua kutafuta kibao...(Babu ana aleji ya kupigwa mizinga)
7. Asiwe mvivu kitandani.... Napohitaji anipe, anapohitaji asiogope kuniambia.
Akiwa na vyooote hivi, babu anatulia naye. Akitoka nje itakuwa ni kwa ajili ya tamaa za kawaida za kimwili za wanaume na si vinginevyo.
Babu anarudi kitandani kumalizia usingizi wake na bibi yenu.
Dah babu aksante
Hapo kwenye namba tatu hapo?? Babu hapooooo................. asiwe mpelelezi yaani dah kusema ukweli huwa ni pagumu sana kutekelezeka. Yaani we utoke kazini uende sehemu kushikana mkono na washkaji .....ukichelewa bibi asikupigie simu??
Lakini tuweni wakweli jamani hivi mnadhanigi wanawake wanawapigiaga simu au kuwasumbua bure?? kuna sababu zinazowafanya wafanye hiyo na moja wapo ni upendo.
1. Ukichelewa kurudi nitakupigia na kukusumbua kwa kuwa -nakumiss
2. Nitakusumbua kwa kuwa - Nina wivu na mpenzi wangu (Nahofia asijedakwa na mapapa mji)
3. nitakusumbua kwa kuwa ninataka kujua usalama wako.............
4. Nitakusumbua kwa sababu tu nina hamu na wewe na sauti yako na kila kitu chako jamani!!
kwanza tunapowasumbua ni njia mojawapo ya kuwaonyesha kuwa tunawajali!