Sakata hili linanikumbusha ya Wenje na MashaRadhia Sweety,
Fikiria yaliyomkuta Siyoi ndio yangekuwa yamemkuta Kamanda Nassari unadhani Magamba nao wangemuacha hivi hivi? Hii ndio siasa bana. One mistake, one gool. Tayari Jimbo tumeshalichukua!
Sakata hili linanikumbusha ya Wenje na MashaRadhia Sweety,
Fikiria yaliyomkuta Siyoi ndio yangekuwa yamemkuta Kamanda Nassari unadhani Magamba nao wangemuacha hivi hivi? Hii ndio siasa bana. One mistake, one gool. Tayari Jimbo tumeshalichukua!
Sioi movie is yet another intriguing one and worth beholding. Inspite of its unending formidable social woes, this country has never run short of such gripping drama.
Babu, Unataka kukaakimya wakati katiba inataka kuchakachuliwa...Mkuu wa mkoa anaitaka Uhamiaji impe taarifa za uraia wa mgombea wa CCM?
Nlifikiri Mkuu wa Mkoa anafanya kazi za serikali na si za kisiasa!
Anyway ngoja tukae kimya tuone.
Nilitamani sana tukishinde CCM hiki kwa kura uwanjani sasa huyu paka mweusi kwa jina la Sioi naye katokea wapi mbona anatuharibia mechi hivi, aggghhh!!!!!!!!!
Mambo mengine bana, mpaka kero; ina maana hata huyu Meneja Kampeni wa kukodi, hili li-rugaruga kwa upande wa CCM Lowassa naye hakulifahamu hilo mpaka wanamvuna baba wa watu mahela meeengi kupitia kwa 'Askofu wa Tanzanite' wakati CCM Orijino ilishasema kuwa huyo mtu hapan???????
Mwigulu Nchemba naye bana, huu si utapeli kweli huu kwa Mhe Lowassa mchana kweupe hivi hivi mpaka CHADEMA bao la kisigino hivi??????
Big up sana Vicent Nyerere na Makamanda wote mliokua mnasaidiana huko ila mturudishie japo NUSU VIINGILIO maana wengine bado tulikua bado tuko kwenye foleni huku nje ya uwanja hivo mechi hatujaona kitu mara tunasikia eti ni KO zile za ki-Mike Tysoni tu daahh!!.
Hivi topic ni kuhusu Crashwise au uraia wa SIOI.....?....kama crashwise ni mchicha mwiba basi wewe mchicha
Mimi ni Crashwise (Mtu mwenye fikra chache kuzidi hata punje ya mchanga) ...kawaulize (wakina nani ww? mie ntakuja muuliza mwenza wako) Uhamiaji nimeupataje (sio kiswahili sahihi, waonyesha ww si mtanzania) barua zao siyo mimi.....yaani CCM (Chama Dume) Arumeru mmechanganyikiwa (Sio ww ? kwa nn uweke mapingamizi) na bado (na kweli na bado lazima mwaka huu nikufanye mchicha)
Kama kawaida yako habari zako sio zakuaminika humu JF , JITOE !
Radhia Sweety,
Fikiria yaliyomkuta Siyoi ndio yangekuwa yamemkuta Kamanda Nassari unadhani Magamba nao wangemuacha hivi hivi? Hii ndio siasa bana. One mistake, one gool. Tayari Jimbo tumeshalichukua!
CHADEMA imemwekea pingamizi mgombea wa ccm Siyoi kwa madai kuwa si raia wa Tanzania.CHADEMA imenasa barua ya siri yenye Kumb no.AR/C/32/VOL1/85 ya Feb 29/2/2012,kutoka kwa Afisa mfawidhi wa uhamiaji mkoa wa Arusha kwenda kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha,ikifafanua uraia wa Sioyi na katika ufafanuzi huo Ofisi ya uhamiaji inakiri kuwa kwa yeyote aliyezaliwa nje ya nchi,ukomo wa uraia wake ni pale anapofikisha miaka 18 na baada ya hapo anapaswa kuukana uraia wa nchi alipozaliwa na Sioi Sumari alizaliwa Kenya,na hakuwahi kuomba uraia wa Tanzania.
View attachment 48967
View attachment 48968
View attachment 48969
View attachment 48970
Marehemu Jeremia Sumari[JERRY SOLOMON kwa wakati huo] baba yake Siyoi alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni iitwayo Shell Chemical Company of Eastern Africa nchini Kenya. Hakuwa ubalozini.
Hili ni rahisi sana kwa siyoi kulitupilia mbali - kuonesha kuwa hakuzaliwa Kenya na b. kama alizaliwa Kenya aliukana uraia wa Kenya alipofikisha miaka 18.
Hivi wewe ni Pro-Chadema au msemaji wa ofisi ya Uhamiaji Arusha? Wewe basi kifungu cha sheria kinacho thibitisha Sioyi sio raia wa Tanzania, weka na uthibitisho wa Siyoi ni raia wa Kenya..
Kweli huyu dogo kiboko kila mkipiga hesabu zenu kwenye box la kura atashinda kwa mbali sana, mmeamua kuja na mbinu za kitoto.
Kama Chadema mnakubalika Arumeru kwa nini mnaangaika hivyo mpaka mnatia huruma.
Hivi ukizaliwa kenya ina maana kuwa wewe ni raia wa kenya?
Au ukizaliwa Tanzania basi wewe ni raia wa Tanzania? Mbona Bashe kazaliwa Tanzania?
Uraia wa nchi hizi mbili hutokana na wazazi.
Sioi ili awe raia wa kenya, ni lazima mzazi wake mmoja awe amezaliwa kenya.
Punguzeni ngonjera dah!