Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
CHADEMA imemwekea pingamizi mgombea wa ccm Siyoi kwa madai kuwa si raia wa Tanzania.CHADEMA imenasa barua ya siri yenye Kumb no.AR/C/32/VOL1/85 ya Feb 29/2/2012,kutoka kwa Afisa mfawidhi wa uhamiaji mkoa wa Arusha kwenda kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha,ikifafanua uraia wa Sioyi na katika ufafanuzi huo Ofisi ya uhamiaji inakiri kuwa kwa yeyote aliyezaliwa nje ya nchi,ukomo wa uraia wake ni pale anapofikisha miaka 18 na baada ya hapo anapaswa kuukana uraia wa nchi alipozaliwa na Sioi Sumari alizaliwa Kenya,na hakuwahi kuomba uraia wa Tanzania.