Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
- Thread starter
- #21
Kinacho fanywa na chadema kuhakikisha sheria zina fatwa lakini kama raisi wa nchi ali apa kuhakikishe katiba inafatwa ataamua kuwaamulishwa vibaraka wake wafanye watakavyo basi watanzania wanajua ukweli uko wapi na haitakuwa mara ya kwanza....Hakuna kitu hapo, zaidi yakupoteza muda wote. Yote haya kamati kuu ya CCM ilipelekewa na kuona hayana athari. Na mwenyekiti wa kamati kuu ni RAIS WA NCHI. Na hizi barua kabla ya kamati kuu kukaa zilipitiwa na usalama wa Taifa na Uhamiaji na ndipo wakamshauri Rais kuwa hoja hazina msingi. Hii ni wazi kabisa SIOI NI TISHIO ARUMERU, CDM WANA WEWESEKA KILA UPANDE