Uraia uko wa aina mbili:
1. Wa kuzaliwa: ambapo kama umezaliwa Tanzania, bila kujali uraia wa wazazi wako, unakuwa raia wa TZ hadi hapo utakapofikisha umri wa miaka 18 na kuamua kuukana uraia wa nchi uliyozaliwa.
2. Uraia wa kupewa kwa mujibu wa katiba ya nchi. Hapa kuna kigezo cha mtu kuwa ameishi Tz kwa miaka kadhaa na ameomba uraia na kutimiza masharti ya kikatiba na sheria.
Kwa Sioi kama hakuukana uraia wa nchi alikozaliwa (ndivyo ilivyothibitishwa na uhamiaji) ina maana bado ni raia wa nchi husika. Tukumbuke kuwa sheria za Tanzania haziruhusu uraia wa nchi mbili.
Ulichoandika hapo point namba 1 SIO SAHIHI. Soma tena sheria ya uraia.