Pinda kukutana na Madaktari Dar, Je anaingilia mamlaka ya Bunge?

Mchambuzi I agree kuwa alipaswa kujiuzulu mapema zaidi. But the case against him becomes stronger kama atakuwa 2 and 0. Hii itategemea sana lugha anayoenda nayo kesho.
 
Serikali ina kazi kubwa sana katika hili. Kuna tetesi kwamba suala la ongezeko la posho za wabunge limepigwa stop kwa muda tu na kwamba watapewa nyongeza yao katika bajeti ijayo - Mwezi June mwaka huu. Inabidi Waziri Mkuu Pinda awe makini sana hiyo kesho to handle vizuri suala la ongezeko la posho na mishahara kwa madaktari, vinginevyo come bunge la bajeti, na wabunge wapewe chao, na madaktari wabakie kuduwaa na ahadi hewa, this country will come to a political deadlock come August 2012, wakati wa hitimisho la bunge la bajeti.
 
Kuna kitu kinaweza kusahaulika! Kama suluhu ya mgogoro huu ikifikiwa, Je, kamati iliyotumwa na bunge itatwambiaje?
 
Karibia 70% ya watumishi wa Serikali Tanzania ni waalimu.
Cha kusikitisha wakati niko Primary school, waliokuwa wanapata maksi za chini ndio walikuwa wanachaguliwa kwenda chuo cha ualimu, waliopasi vizuri ilikuwa ni Tambaza na Azania na Jangwani, wale wa kuunga unga ilikuwa ni kisutu, zanaki na kibasila.
 
..kwahiyo ulazima wa Pinda kujiuzulu akiwa kama kiongozi wa shughuli za serikali Tanzania. Mwanakijiji, kama unakubali kwamba serikali imeshindwa, lazima kuwe na mtu wa kuwajibika kutokana na kushindwa huko.

Absolutely! Kwanza the four top guys wizarani na kutegenea na matokeo ya kikao cha kesho hata WM mwenyewe.
 
...Pinda amechuma aibu kubwa katika historia ya utawala wake na hatakaa asahau. Sipati picha what is going through his mind usiku wa leo kwa sababu zifuatazo;-
Anaenda kukutana na madaktari ambao:-
1. Aliwaalika katika kikao Karimjee wakamsusa
2. Akatoa tamko la kuwaamuru warudi kazini/ama wajifute kazi wakamgomea
3. Atalazimika kuzumngumza na Bw. Ulimboka ambaye amemtangaza kuwa sio Daktari
4. Amelazimika kwenda kukutana nao katika ukumbi wa hospitali -CPL

Nimependa hapa, picha siipati vizuri MTU uliyempaka pamoja na waziri wako wa afya leo unakumbana ana kwa ana huku akitambuliwa na madaktari kuwa ni mwenzao aliyepewa dhamana ya kuwaongoza
 
Kwa nini raisi naye asijiuzulu?

As far as I'm concerned things should not even be where they are now.

The whole entire government brass should resign immediately due to their callous handling of the issue.

They have shown nothing but a total disregard for human life and with that they have forfeited their legitimacy to lead. Period, end of story.
 
@kimbunga, pinda amekubali kula matapishi yake, na isitarajiwe tena selikali kutumia vitisho kusapress madai ya raia wengi wamejifunya kwamba ukikomaa selikali hnafyata!

Napenda kujua hv huyu jamaa kuja kwake kutazuia bunge kujadili hoja husika?
 
Mwacheni kwanza yeye alishatoa maagizo akawapa na polisi maelekezo, sasa anarudi kula matapishi yake bado Wabunge wa Ccm nao walambe this people are foolish.
 
Pasco mwenzako anataka kukutana na watu aliosema wamefukuzwa kazi kesho saa tatu asubuhi kwenye ukumbi wa CPL Muhimbili. Unasemaje hapo?

Hana jipya huyu,anataka atumie kikao cha leo kujisafisha na kauli zake mbofu mbofu.Akae akijua kuwa Doctor Ulimboka atakuwepo.
 
The drama continues Gray's Anatomy or rather Grey's Anatomy as good as it gets/ part II 'The confrotation'
 
Pinda ameshapoteza direction, unaongeaje na watu ambao ulishawatangazia kuwafukuza?Mhe. unaenda kuwa majibu ya matatizo yao?au unaenda kuwaomba warudi kazini na ahadi tele?

Mytake: Madaktari hawataki stori wa ahadi wanataka maslahii bora.
 
Pinda anaweza kujiuzulu kama raundi hii atatoka sifuri tena.
Mkuu Mwanakijiji, n i kwelikwenye hili la mgomo wa madaktari, serikali imeshindwa!. Japo mimi nilikuwa mshabiki wa tishio la kuwafukuza kazi ambalo Pinda alilifanya, sikutegemea hali hii ingefikia hapa!. Tishio lile la kuwafukuza kazi lime backfire!.
Kiukweli, hakuna daktari atakayefukuzwa kazi kwa kushiriki mgomo huu na ndio maana sasa Pinda anawaangukia na kuwapigia magoti!.
Pamoja na yote, Pinda hatajiuzulu kwa sababu hatuna utamaduni wa kujiuzulu kwa kuwajibika!. Lowassa alipojiuzulu, hakujiuzulu kwa kuwajibika, bali alijiuzulu ili ku 'save faces'. Kwenye huu mgomo wa madaktari, there is no face to save!.

To be honest, hata mimi niko disapointed na miss handling. Ile Jumatatu asubuhi baada ya Pinda kutangaza wasioripoti wamejifukuzisha, ilitakiwa jioni hiyo watoe idadi, taarifa ya habari ya usiku itangaze wamefukuzwa kazi wangapi, magazeti ya Jumanne asubuhi yangetoka na tangazo la ajira mpya kwa madaktari, huku likiweka kipengele waliofukuzwa jana yake ruksa kuomba upya!, amini nakuambia tusingefika hapa tulipofika, kwa sababu hata hicho kikao cha leo cha Pinda, atatoka bila bila!

My honest opinion, baada ya Pinda kushindwa, Pinda was supposed to be done, sasa alitakiwa kuingia front mwenyewe!.

Pasco.
 
Yote wafanye lakini Bottomline ni kumuondoa Blandina Nyoni na Deo Mtasiwa. Hawa wanakuwa kama miungu watu, angakia wanavyowashauri vibaya Waziri wa Afya na Naibu wake
 
Mkuu Mwanakijiji, n i kwelikwenye hili la mgomo wa madaktari, serikali imeshindwa!. Japo mimi nilikuwa mshabiki wa tishio la kuwafukuza kazi ambalo Pinda alilifanya, sikutegemea hali hii ingefikia hapa!. Tishio lile la kuwafukuza kazi lime backfire!.
Kiukweli, hakuna daktari atakayefukuzwa kazi kwa kushiriki mgomo huu na ndio maana sasa Pinda anawaangukia na kuwapigia magoti!.
Pamoja na yote, Pinda hatajiuzulu kwa sababu hatuna utamaduni wa kujiuzulu kwa kuwajibika!. Lowassa alipojiuzulu, hakujiuzulu kwa kuwajibika, bali alijiuzulu ili ku 'save faces'. Kwenye huu mgomo wa madaktari, there is no face to save!.

To be honest, hata mimi niko disapointed na miss handling. Ile Jumatatu asubuhi baada ya Pinda kutangaza wasioripoti wamejifukuzisha, ilitakiwa jioni hiyo watoe idadi, taarifa ya habari ya usiku itangaze wamefukuzwa kazi wangapi, magazeti ya Jumanne asubuhi yangetoka na tangazo la ajira mpya kwa madaktari, huku likiweka kipengele waliofukuzwa jana yake ruksa kuomba upya!, amini nakuambia tusingefika hapa tulipofika, kwa sababu hata hicho kikao cha leo cha Pinda, atatoka bila bila!

My honest opinion, baada ya Pinda kushindwa, Pinda was supposed to be done, sasa alitakiwa kuingia front mwenyewe!.

Pasco.
mkuu pasco nimefurahi kwamba umekubali kuwa uliipotosha serokali.ubabe,vitisho,mbwembwe na ulaghai isingeweza kuwa suluhisho na hata kikao cha leo hakitafanikiwa kwa kutumia njia hizi.ni lazima serikali kwa upande wake ikubaliane na mambo kadhaa ya madaktari na kwa upande mwingine madaktari ikubaliane na mambo kadhaa ya serikali.
majadiliano ya leo hayatafuta hukumu kwa waliokuwa chanzo cha mgomo huu.
 
wasikubali kuongea nae kama mponda, nyoni na nkya bado wko madarakan!!!!............
 
Back
Top Bottom