Pinda kukutana na Madaktari Dar, Je anaingilia mamlaka ya Bunge?

Madaktari watakuwa waajabu sana kuongea na huyo Mtambo wa matusi na kashfa Waziri mkuu Mwongo kuliko Mawaziri wakuu wote waliomtangulia
huyo atakuja kuwatisha na kuwambia anawafukuza asipewe nafasi ana ongea kama yeye ndio dunia hana uchungu na wananchi
 
Hivi suluhisho hawana na wanategemea kulipata CPL kwa dakika chache. Wao watoe tamko coz kesho wakikutana wataambiwa tu waende kazini swala linashugulikiwa..
 
Hivi suluhisho hawana na wanategemea kulipata CPL kwa dakika chache. Wao watoe tamko coz kesho wakikutana wataambiwa tu waende kazini swala linashugulikiwa..

Je suala la kijiudhuru watu linahitaji muda kushughulikiwa!!??mimi nadhani hao wanaotakiwa kuondoka waondoke kwanza,au waongee na sharti kubwa kurudi kazini kama mambo yao yanashughulikiwa hao wakubwa waondoke,watakuwa watu wa ajabu kama watakubali kufanya nao kazi!!
 
Mazungumzo ya maana hayawezi kufanyika kwa kadiri ya kwamba wahusika wabovu bado wanakalia viti vyao Wizarani! They have to go for any constructive negotiations to occur.
 
Mazungumzo ya maana hayawezi kufanyika kwa kadiri ya kwamba wahusika wabovu bado wanakalia viti vyao Wizarani! They have to go for any constructive negotiations to occur.

Watu wenye busara hawana pre condition kwenye mazungumzo...unless kama hawataki ku-end the crisis
 
Pasco mwenzako anataka kukutana na watu aliosema wamefukuzwa kazi kesho saa tatu asubuhi kwenye ukumbi wa CPL Muhimbili. Unasemaje hapo?

No ni dalili tu ya mtu anayevuta bangi mbichi, msaidieni wakati kwingine awake tetere mpaka zikauke Ndo avute.
 
Watu wenye busara hawana pre condition kwenye mazungumzo...unless kama hawataki ku-end the crisis
Wapemba wenzako wakati wa maongezi ya muafka wenu wa kitapeli KARUME aliwapa sharti chama chako cha CUF kwamba ili wafanye mazungumzo ni lazima kwanza CUF imtambuwe KARUME kama Rais halali, na CUF ( MAALIM SEIF ) alilitimiza sharti hilo, leo wewe mnafki mkubwa unakuja kubana pua mbele ya wanaume!! watch out.
Mambo ya Tanganyika ni vyema ukatuachia wenyewe, hili sio swala la muungano ndio maana Zanzibar hakuna Madaktari waliogoma.
 
Tatizo siyo kukutana na madaktari; mazungumzo yoyote na madaktari hayawezi kuwa na maana kama Waziri wa Afya, Naibu, Katibu na Mganga mkuu bado wapo madarakani. Kanuni ya kwanza ya kujenga imani kwa madaktari ni kwa wanne hawa kuondolewa kwanza. That is a pre-condition ya mazungumzo yoyote ya maana.

wewe ni dr?anaeenda kukutana na ma dr ni pinda,au hujasoma mada vizuri.
 
Shart.# 1.selikali isifukuze dr. Hata mmoja. 2. Wizara ya afya ipigwe chini na kusukwa upya ndo wakubali kuingia ktk mazungumzo.


3. Pia ateuliwe PM Mpya anayeona mbali, asiye mnafiki, na mwenye kuweza kukemea mafisadi na mawaziri wabovu kama alivyokuwa Sokoine na sio huyu wa sasa analia-lia uwongo mtupu, na anayeongea kwa kujifanya anao uchungu, anakunja ndita za uchungu kumbe 'behind the scene' hana uchungu wowote na walalahoi bali anakuwa mlo ule ule wanaokula mafisadi....! Aliyepo ameprove huge failure, disastrous kwa dira ya nchi yetu na amepata anguko la kisiasa kwa kuwatishia Ma-Dk wakati hata nguvu ya hoja haimo kwake! Je, nani atamtumua yeye?? wote hatujui....'vacuum'
 
Wapemba wenzako wakati wa maongezi ya muafka wenu wa kitapeli KARUME aliwapa sharti chama chako cha CUF kwamba ili wafanye mazungumzo ni lazima kwanza CUF imtambuwe KARUME kama Rais halali, na CUF ( MAALIM SEIF ) alilitimiza sharti hilo, leo wewe mnafki mkubwa unakuja kubana pua mbele ya wanaume!! watch out.
Mambo ya Tanganyika ni vyema ukatuachia wenyewe, hili sio swala la muungano ndio maana Zanzibar hakuna Madaktari waliogoma.

Madaktari hawana ubavu huo wa kumuwekea PM pre condition; siyo busara mhurumie mtoto wa mkulima kumbuka ni mwenzenu huyu
 
Mazungumzo ya wenye busara hayana pre condition imekuwa palestina na Is-hell case??
Mizengwe Pindisha alipoweka condition yeye alikuwa sawa si ndio?na ni busara gani wewe Topical unayoitaka?nani hakuonyesha busara kati ya madaktari na hao Magamba?kwa taarifa hata kesho condition ziko pale pale,na ya kwanza hao watu wanne,waziri na naibu waziri wa afya waondoke kwanza,katibu mkuu na mganga mkuu waende kwao hapo ndipo mazungumzo yaanze,sio mnaleta ushabiki wenu,ushabiki huu kafanyeni huko kwenye magamba yenu yaliyowashinda kuyaua,si umeona hata huyu Pasco mwandishi anaekana jina lake na taaluma alileta ushabiki humu tukamwambia hao sio ma-teacher subiri mziki akadhani wanatania.
sasa hata wewe unaposema kusiwe na condition unajidanganya,kwanini kusiwe na condition kwa viongozi wasio aminika?
 
No ni dalili tu ya mtu anayevuta bangi mbichi, msaidieni wakati kwingine awake tetere mpaka zikauke Ndo avute.
Pasco ni GAMBA linalojitayarisha kwa 2015,sio jimboni no ispokuwa lina dream za kuwa Magogoni upande wa mawasiliano,hicho ndio kinachomsumbua msukuma mwenzangu huyu.ana dream awe Sylvester wa 2015 akiwa na EL
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom