Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?
wakina KIBONDE utawajua tuuuuuuData plizzz.......
ulisomea wpi uongo?tutaaminije bila picha.tbc wanarusha picha ya bukoba mjini wakati yuko chato.ama kweli ccm,mnaweweseka,shughulikieni matatizo ya watz.usijilinganishe na chadema...mziki mzito,Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?
Subutu! Only in your imagination.Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?
Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?
ulisomea wpi uongo?tutaaminije bila picha.tbc wanarusha picha ya bukoba mjini wakati yuko chato.ama kweli ccm,mnaweweseka,shughulikieni matatizo ya watz.usijilinganishe na chadema...mziki mzito,
Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?
Kweli we ni mbavu za mbwa.