The Analyst
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 464
- 246
Katika ziara za waziri mkuu Pinda, mikutano yake katika mkoa wa kagera hakika imefunika mikusanyiko ya CDM. Nimebaki nikiduwaa, huyu ni Pinda, je akija JK itakuwaje?
Hongereni wana CC-Mafisadi (kama topic hii ina ukweli basi, mtatawala milele). Wadanganyika wameamua kufumba macho hapana shaka, na watakupendeni mpaka mwisho.
Nawashauri mchunguze kwanza.