Black Label
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 392
- 465
Suala sio kuwa na pesa au kutokuwa na pesa. Suala ni unafiki. Nyerere alikuwa na uwezo wa kupeleka watoto wake nchi yoyote ila walisomea mazingira haya haya.Hebu acheni ujinga hivi kweli mie niwe na hela nimepeleke mtoto Kayumba?
Wacheni kusomesha mtoto Feza sio kosa maana analipia hela zake
So, huyu ni bora angekaa kimya kuliko kujifanya yupo nasi kumbe changa la macho.
Aliwahi kusema bungeni anataka kila kitu kiwe kwenye kiswahili hadi job interview. Sasa kama unataka kila kitu kwa kiswahili mbona wanao umewapeleka " hallow dady?"