Salimhamad
Member
- Feb 21, 2011
- 30
- 7
Wana wa chadema kwa hizi kauli zenu inaonesha hasaa kwamba huyu Zitto kwa vile Muislamu hamumpendi ndio lisilo budi. Na huyu Mbunge mwengine anaye vaa kofia munatamani afe, lakini wapi. Kazi udini udini.
ha ha ha hao si changu dowa, na dini yao ni Ki-Islamu na Mola wao ni Allah na Muhammad (SAW) ndio mtume wao wa haki na wa mwisho baada ya Nabii Issa (AS). Na wewe una uhuru wa kuvaa upendavyo hakuna atakaye kuzuwiya. Ni hao hao waliompokea Nyerere na kumtia mjini.....
Ule wakati wa miaka 1961 ya kupigana kwa mitutu ya bunduki umeisha,hakuna njia nyengine ya kujadili mambo kama wanaume kwa kuongea sio kununa nuna kama mwanamke,kutoka bungeni kwa chadem imewakosesha wananchi fursa ya kupelekwa kilio chao au matatizo yao ?Aiiiiibu sana!
Kama watu wanaojiita viongozi wa chama hawawezi kubuni namna ingine ya kuwasilisha mapendekezo, zaidi ya kuiga wenzao....inatisha hii!
CUF wanatumiwa na CCM kuchochoa ugomvi ili CCM iendelee kutawala. Huyu Mnyaa si ndiye aliyekuwa kinara wa kuporomosha maneno bungeni badala ya kuchangia muswada? Anaenda kuchukua notes ili atukane zaidi kwenye kikao kijacho cha bunge? Na mwenyekiti wao yuko wapi?
Wana wa chadema kwa hizi kauli zenu inaonesha hasaa kwamba huyu Zitto kwa vile Muislamu hamumpendi ndio lisilo budi. Na huyu Mbunge mwengine anaye vaa kofia munatamani afe, lakini wapi. Kazi udini udini.
nakupigwa mabusu.
Hivi ni macho yangu hayaoni vizuri au? Naona kama Bw. JULIUS Mtatiro ana JICHO la tatu!
JULIUS MTATIRO,Hebu tuambie hiyo ngeu ulipigwa Igunga au inakuwaje?Maana hata Maalimu Seif sio kubwa kihivo ati?Ndio Principal za CUF nini?AL Shaabab Agents in Tanzania
Kuna baadhi ya vitendo vinaweza kuwasababishia watu kuichukia CUF hadi kutamani kutapika. Hivi kweli viongozi wao hawa wana akili sawasawa?Nahisi kutapika
wee ndio kiazi kweli kweli!!!Hawa kidogo wanaonesha wana nia ya dhati kuliko Magwanda walioingia Ikulu kwenda kupiga picha na kuchekacheka.
Hivi ni macho yangu hayaoni vizuri au? Naona kama Bw. JULIUS Mtatiro ana JICHO la tatu!