daaaaa usipime wengi sanaaaa
wengi ni wapemba
daaaaa usipime wengi sanaaaa
Hii ndio nini sasa? Hebu tuwekeeni post zenye akili bana achaneni na CUF inayojizika yenyewe. Ngangari imebaki historia kwa ujinga wao wenyewe.
La kuvunda halina ubani,chama chao kimeshaingia chaka hawawezi kurudisha hadhi yao kirahsi kama anavyofanya mtatiro
Mkuu, sina mbavu tena hapa nilipo duuu!!!!!!!!!!
Mbona kama vile kila mtu karukwa akili vile au ndio matokeo ya kuzulumiwa saana huku? Kabla sijaondoka, nisaidie kidogo; hapo juu ni kwamba KAFU wanaonyesha walivyoenda PICNIC mkoa wa Pwani u wako kwenye shughuli za wokozi?
siku hizi wamebadilisha jezi?
siku hizi wamebadilisha jezi?
CUF HAWAAKO KWENYE HALI YA KUWAFANYA WADHOOFIKE KAMA UNAVYODHANI.Harakati zinaendelea na ndio maana leo wako maeneo mabalimbali ya nchi kuimarisha chama na kutoa elimu ya uraia kwa wananchi kwa kuwazindua waliolala kisiaas.Big up CUF
watu wa ile dini yetu
Dini ya yule mwenye Ph.D ya sheria za RC.
siku hizi wamebadilisha jezi?
inawezekana mkuu.Chama chetu tunakiimarisha mikoa ya huko pemba,pwani,mafia,mtwara,lindi na baadhi ya maeneo ya tanga.Hatuhangaiki na maeneo ya zile dini za wazungu ndio maana Igunga tuliambulia kura elf 2.Hizo chache za Igunga tulipata kutoka kwa watu wa dini ya chama chetu
Hivi Kafu hadi sasa ina wanachama wangapi wakristo?