Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Full kuogopa
Nachokoza mjadala.. Hivi ni Gavernor General akitambulishwa au Membe akitambulisha?..
Sasa wewe ulitakaje kila siku akae asikie kesi za kuchunana ngozi,askari kajiua,boda boda yaparamia meza ya machungwa,waziri fulani kafumaniwa,madaktari wagoma,CDM wapigana mkutanoni au Kigwamngwala kamtishia Bashe bunduki,aaaaaaaahh!!!! mwache apumzike kidogo baba Mwanaasha.Huyo ni vasco dagama bana!
Mwenzenu ameenda kuwahakikishia kuwa yale mabadiliko ya sheria ya madini yaliyoongera mrahaba, utekelezaji atahakikisha anaukwepa hadi atoke madarakani!!!
Ni mwendo wa kutembeza bakuli tu!!
Mkuu Mkandara heshima yako.JK yupo Canada lakini ili kumwona inabidi ulipie walau $120 kwa kichwa....! Bofya
Full kuogopa
kwikwikwikiw wewe mbaya sana...i know your move......eneweiNachokoza mjadala.. Hivi ni Gavernor General akitambulishwa au Membe akitambulisha?..
wewe unafikiri kwanini maraisi wa afrika wanadhalaulika?....mfano kama wewe ukisikia majina kama Galileo Galilei, Isaac Newton, Abraham Lincoln, William Shakespear, Albert Einstein, Bill Gates unajisikiaje?Maraisi wa Africa Huko Kwa Wazungu Wanazarauliwa sana, Mfano USA OBAMA kwa Bara la Africa anaweza enda Uwanja wa Ndege Kumpokea Raisi wa South Africa Pekee, Hao wengine wanapokelewa na Watu wa Kawaida tu
Wala sina noma na maandalizi lkn binafsi yangu sioni kabisa sababu ya rais ambaye hajawahi kutembelea Canada, leo kaja nchini asikutane na Watanzania wote japo ubalozini Ottawa, kisha mambo mengine yakafuata.Mkuu Mkandara heshima yako.
Hiyo ni kawaida na mambo haya yalikwishatayarishwa "months ago", kwani watu walikwishaambiwa in advance si unaona malipo kabla ya 9th sept kuna discount?
Nimependa kuona baadhi ya watanzania wenzetu walivyopiga hatua kuhusu haya mambo ya "event management".