masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Nasikitika kuwa unaliona tatizo hili kwa msimamo wa kuweka miguu juu ya stuli na kuagiza pop corn ili kuangalia the next episode.mkuu wangu sikubaliana na mtazamo wako wa kutaka kutetea na kulinda ujinga,majungu,chuki,fitina na uchonganishi ktk jamii! huyu jamaa yako hafai kubakia ktk ofisi ya umma kwasababu kuna siku atakuja singizia wafanyakazi wengine kwamba wamemwekea sumu ama wanapanga njama za kumuua! ni mtu hatari kwa umoja na mshikamano wetu kama taifa!
Ni mtu wa mawazo ya kijinga tu asiyewe na upeo wa kuona hapo kuwa kombe limefunikwa ili wanaharamu wapite, na wewe ukiwa mmoja wapo.
Kama tatizo lina wakanganya hata vigogo wa serikali na kuishia kutoa taarifa zinazo kinzana, than I am at loss to understand your sense of reasoning.