Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,384
Ingeshangaza kama siku hii ingepita bila wewe kuitaja CHADEMA!..........ila umesahau kumtaja na Godbless Lema.Mwakyembe, umewangusha sana Pro-Chadema JF.
Ingeshangaza kama siku hii ingepita bila wewe kuitaja CHADEMA!..........ila umesahau kumtaja na Godbless Lema.Mwakyembe, umewangusha sana Pro-Chadema JF.
Mwakyembe: Jamani imetosha Imeandikwa na Halima Mlacha (Habarileo); Tarehe: 19th March 2012 |
[TR] [TD]
| ||
|
anaweza sana tukimuunga mkono na kuandaa akina mwakyembe wengine wengi,wewe ukiwamo
Anaweza sana kitu gani? tumuunge mkono kwa lipi? kuandaa mwakyembe wengine? hapana, one mwakyembe is already one too many, mimi simo! Hivi Dr. Mwakyembe anapigania nini vile na ili iweje. Uwanja wa Arumeru umezidi kutufungua macho, ama uko nao au hauko nao, wanafiki hawana nafasi tena katika mabadiliko tunayoyatafuta. If you cant fight them, join them na Mwakyembe amekubali yaishe na sasa ameungana nao na kuweka silaha, kama kweli alikuwa nayo, chini. Kama huamini kamuulize Nape.
Pro-Chadema wapi, Kata ama GT?Mwakyembe, umewangusha sana Pro-Chadema JF.
Wakati nyie mwamnanga Mwakyembe, mie nawananga nyie ambao mlikubali kushikiwa akili zenu na kuchezeshwa ngoma msiyoijua na Msanii Samwel Sitta!! Msanii bila ya aibu, aliuambia umma kwamba madaktari wamethibitisha kwamba Mwakyembe amelishwa sumu! Hapo hapo, akataja sababu zake (Sitta) nne za kuthibitisha kwamba Sitta amelishwa sumu!!! Kama sio usanii tuite nini? Yaani tayari kuna scientific evidence kwamba Mwakyembe amelishwa sumu. Wewe unatoa imaginative evidence kuonesha kwamba Mwakyembe amelishwa sumu! Sasa kama kweli kulikuwa na scientific evidence kwamba Dr amelishwa sumu kulikuwa na sababu gani tena ya kutoa imaginative evidence?! Nilishasema awali, kama mtua anatoa vigenzo visivyo vya kisayansi ku-support scientific evidence, basi lazima kutakua na mkanganyiko kati ya hizo scientific evidence na uhalisia! Mathalani, Mwanariadha Samenya alipkuja kuleta utata juu ya jinsia yake ni kwavile kulikuwa na mkanganyiko juu ya uwezo wa jinsia ya kike na uwezo wake ktk riadha! Kila mtu anafahamu Dr Mwakyembe ni mwanaume! Sasa pakitokea mtu akataja sababu kadhaa za kuthibitisha kwamba Mwakyembe ni mwanaume, basi ujue jinsia yake hiyo haiendani na hali halisi ya uanaume! Tusema, anapaka poda, shedo, anabana sauti, anavaa nguo za kike, anatembea kwa maringo, na mambo yote ya kike! Hapo lazima atokee mtu atoe sababu zingine kuthibitisha kwamba, pamoja na yote hayo, huyo mtu ni mwanaume.....!! Hivyo basi, suala la Sitta kutoa sababu za kuthibitisha ulishwaji sumu, inaonesha wazi kwamba palikuwa na mkanganyiko wa hicho alichoita kwamba Madaktari wamethibitisha vinginevyo hapakuwa na haja!! Tafsiri rahis ni kwamba, pamoja na kwamba ripoti haioneshi kupewa sumu lazima tu atakuwa amepewa sumu, na anayebisha basi azi-digest sababu zilizotolewa na Sitta!!! Kama Sitta alifikia kutamka wazi wazi kwamba Mwakyembe amelishwa sumu kutokana na ripoti ya madaktari; alishindwa nini kuitoa hadharani ripoti hiyo?! Jibu simpo tu, hiyo ripoti inayosema hivyo, hakuiona!
Mkuu hiyo ni ngonjera, mashairi au taarabu!!
Hapa mwakyembe akiwasili kwa nguvu zote
Hapo mwakyembe akielekea ofisini
Mwakyembe akiongea na waandishi wa Habari na kunena kuwa mjadala
umefungwa full stop hakuna mtu kujadili tena afya yake inaendelea vizuri
Hapa mwakyembe akiwasili kwa nguvu zote
Hapo mwakyembe akielekea ofisini
Mwakyembe akiongea na waandishi wa Habari na kunena kuwa mjadala
umefungwa full stop hakuna mtu kujadili tena afya yake inaendelea vizuri