Sijawahi kumsikia huyu ila sishangai kwani Bagamoyo ndio hitpoint ya hii gas
Hii kauli ya GESI KWANZA UHAI BAADAE,ndiyo haswaaa!!!!!!tuliyokua tunaisubiria,inaonyesha ni kiasi gani watu wamechoka KUNYANYASWA,KUTISHIWA KUDHALILISHWA,na hata KUONEWA,,!! Heko WAISLAMU kwa kuamua KUFUNGUKA,,,,!kwa hapo tupo pamoja,na Hakika Mungu pia yupo nanyi.HERI VITA INAYOTAFUTA HAKI,KULIKO AMANI INAYOPUMBAZA NA KUZALILISHA UTU WA "MTANZANIA" (MWANADAMU)Licha ya Mvua kuendelea kunyesha lakini watu bado waliendelea kujazana...Hii inatia hamasa sana!! Na tamko lao ambalo wamesema ni la Waislamu halijatoka nje ya madai ya wana Mtwara,kwamba gesi isitoke...na Kauli Mbiu yao ni Gesi Kwanza Uhai Baadae!!
Hii ni kauli ya kidiktetaKauli za kihaini
Uvumilivu sasa basi! Subiri
Mtwara gesi isitoke...na Kauli Mbiu ni Gesi Kwanza Uhai Baadae!!
Unyumba siombi natumia. na gesi lazima tuisafirishe Tanzania nzima
Hii ni kauli ya kidikteta
hakuna kitu kibaya kama kuwa muoga! Unaweza kunyimwa hata unyumba!