Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
CCM ni chama kinachotetea haki za wanyonge. Wapiga kura wengi ni wanyonge masikini, ndio maana wanakichagua chama wanachokimini CCM na kinashinda kila chaguzi kuanzia ngazi ya vijiji mpaka taifa.
clap... clap... clap
read again my post "Kosa kubwa mnalofanya CCM kwa sasa ni hii dharau kwa maskini... THEY ARE THE REAL VOTERS!!
calling names, mocking them expecting that they are fools for life wont help
traitors never hide....