Kwanini Rais Samia alienda Arusha 01/03/2023 wakati Lema anaingia nchini? Mapokezi haya makubwa kwa Lema yanatoa picha gani Kwa chama tawala?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,125
Kwenda kwa Rais Arusha leo ni asset au liability kwenye uwanja wa siasa? Kama ni liability washauri wake walishindwa kuona madhara haya? Kama ni asset, kivipi?

Kwa ukubwa wa msafara wa Lema, hakuna umuhimu. Rais akatembelea Arusha kikazi azungumze na wananchi hivi karibuni kuonesha kukubalika kwake hata baada ya wapinzani kurejea ulingoni? Akifanya mkutano asipate watu wengi kama waliofurika kwa Lema itakuwa political asset au liability kwa ccm?

Au avunge tu siku zisonge?
 
Kwenda kwa Rais Arusha leo ni asset au liability kwenye uwanja wa siasa? Kama ni liability washauri wake walishindwa kuona madhara haya? Kama ni asset, kivipi?

Kwa ukubwa wa msafara wa Lema, hakuna umuhimu. Rais akatembelea Arusha kikazi azungumze na wananchi hivi karibuni kuonesha kukubalika kwake hata baada ya wapinzani kurejea ulingoni? Akifanya mkutano asipate watu wengi kama waliofurika kwa Lema itakuwa political asset au liability kwa ccm?

Au avunge tu siku zisonge?
Rais amejizungushia washauri wabovu anao wateua kwa vigezo vinavyotia shaka
 
Rais amejizungushia washauri wabovu anao wateua kwa vigezo vinavyotia shaka
Kwamba unataka washauri wa Raisi wamwambie kuwa asiende Arusha kwa shughuli za kiserikali kisa kuna muhuni mmoja anarudi sijui...hujielewi wewe
 
Kwenda kwa Rais Arusha leo ni asset au liability kwenye uwanja wa siasa? Kama ni liability washauri wake walishindwa kuona madhara haya? Kama ni asset, kivipi?

Kwa ukubwa wa msafara wa Lema, hakuna umuhimu. Rais akatembelea Arusha kikazi azungumze na wananchi hivi karibuni kuonesha kukubalika kwake hata baada ya wapinzani kurejea ulingoni? Akifanya mkutano asipate watu wengi kama waliofurika kwa Lema itakuwa political asset au liability kwa ccm?

Au avunge tu siku zisonge?
Rais wa nchi hawezi kuacha schedule yake kwa ajili ya Lema.
 
Kwenda kwa Rais Arusha leo ni asset au liability kwenye uwanja wa siasa? Kama ni liability washauri wake walishindwa kuona madhara haya? Kama ni asset, kivipi?

Kwa ukubwa wa msafara wa Lema, hakuna umuhimu. Rais akatembelea Arusha kikazi azungumze na wananchi hivi karibuni kuonesha kukubalika kwake hata baada ya wapinzani kurejea ulingoni? Akifanya mkutano asipate watu wengi kama waliofurika kwa Lema itakuwa political asset au liability kwa ccm?

Au avunge tu siku zisonge?
PoliTRICKS grab anything that can intervene or can mislead the current situation
 
Kwamba unataka washauri wa Raisi wamwambie kuwa asiende Arusha kwa shughuli za kiserikali kisa kuna muhuni mmoja anarudi sijui...hujielewi wewe
Lema kama ni mhuni,ilitakiwa mamlaka husika imtie ndani.Nchi itaruhusuje wahuni waingie nchini na waende wakalale makwao,wakati polisi wapo ambao walitakiwa wamtie nguvuni,kuepusha uhuni wake(Lema)?
Wewe ungekua ndiyo mmoja wa washauri wa Rais,ungekubaliana na hilo jambo kweli?
 
Back
Top Bottom