. Am sure with time Zitto atakuwa maarufu Karatu kuliko Slaa.
time will tellView attachment 66676source mimi mwenyewe.kwa wale haters, hapo ni KaratuLeo.
Huyu kijana matata sana, Ana mvuto wa ajabu kwenye kujieleza, dr. Slaa was good ila baada ya kumpata Huyu mama aliyenae binafsi naanza kupata wasi wasi na uwezo wake wa kuhimili unyumba na kazi za chama katika Muda huu, heko zzk msaidie slaa mjenge chama.
You gotta be kidding me! ZZK is manipulative as always. CHADEMA in Karatu is like MANCHESTER UNITED in OLD TAFFORD there will always be such a multitude.
I think he is trying to build up confidence for himself. The flip side of his tactic is that if the turn out was low he was going to criticise M4C for focusing on enemy territory while it's "unwelcome at home"
If he had done that in Monduli I would say...now ZZK means business
sasa hii thread imewekwa kwa ajili ya haters?
tuvute subira,nasikia anaeleka hai sasa baada ya hapo ni nchi nzimanaona zitto ameamua kuanza kummaliza slaa kwa kuanza na mashambulizi ya nyumbani kwake. Am sure with time zitto atakuwa maarufu karatu kuliko slaa.
kwa kweli ni kazi njema kabisa.
Naona kamanda yupo kazn.....ZZK hongera sana
majungu @ work! gwanda lipo moyoni mwake, human-beings, ni kiboko!ila mbona hana gwanda
Huyu Said Kulwa ukitaka kumjua nenda wall page ya Habib Mchange kila siku anawatukana matusi ya nguoni Mbowe/Dr Slaa/John Heche utadhani hakuzaliwa na mwanamke!
eep: wale wanaosemaga zito hana mvuto siwaoni humu.!
Nadhani unamaanisha hivi karibuni atakuwa maatufu kuliko chadema. Asike akajikuta anaowahutubia wanatafuta kwenye karatasi ya kura chamacha Zitto. Manake yeye haendi kama chadema,anaenda kama yeye.
Jamani inamaana huko karatu hakuna wana JF wakaweka hapa hotuba ya Zitto? Wapi Tumaini Makene? Wapi maofisa habari wa CDM? Hii ni aibu kwa kiongozi mkubwa wa chama kukosa coverage ya kutosha.