Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko pamoja mkuu...Namaanisha Manispaa ya Arusha na Wilaya ya Karatu. Ukifika Arusha Msalimie sana Mzee Edwin Mtei. Mwambie nikirudi December kwenye Christmas ntakuja Arusha kumsalimia. Pamoja Kaka.
TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
Huyu kijana matata sana, Ana mvuto wa ajabu kwenye kujieleza, dr. Slaa was good ila baada ya kumpata Huyu mama aliyenae binafsi naanza kupata wasi wasi na uwezo wake wa kuhimili unyumba na kazi za chama katika Muda huu, heko zzk msaidie slaa mjenge chama.
Rejao Common Goal ya CCM nini?....
Hapana mkuu, tumeshuhudia mikutano ya CCM ambayo ilitkuwa inahutubiwa na Mwigulu, Lusinde, NAPE inakuwa na umati mkubwa wa watu lakini unakuta kilichoongelewa hapo ni Matusi, vijembe na maneno yasiyofaa na kuwa na tija na maendeleo ya taifa hili ndo maana nashauri unapoweka picha ni vizuri ukaweka pia na kilichoongelewa katika mikutano na hapo taarifa yako itakuwa kamili.Shukrani kwa picha. Picha inatoa ufafanuzi zaidi kuliko maneno.