Picha: Mapokezi ya Freeman Mbowe Dar

Duuuuuh kweli kazi ipo, naona CDM wamejipanga kwa propaganda saizi vizuri sana, mahakama na polisi vilitegemea vingemnukisha Mbowe kwa wanachama wa CDM na wananchi kwa ujumla kumbea ndiyo kwanza wamemuongezea umaarufu. Kweli ukimpiga chura teke ni kumpunguzia safari tu.
Mkubwa hujasomeka....
 
Hongera sana Mbowe kwa ku-renew dhamana na pole sana kwa kuswekwa "andar" kwa siku tatu, nakuasa tu, wewe ukiwa ni kiongozi wa chama na unaependwa na walalahoi wengi wa mikoa ya Kaskazini, siku zingine usicheze na Mahakama, fata nyayo za Slaa, mwenzako aliposikia anaitwa akaacha mambo yoote akaenda haraka kuripoti.

shinyanga ni kaskazini?, mbeya je?Iringa nako, acha hizo mbowe anatisha hata mkitoa magamba mmechemsha tu
 
Hii inafanana sana na hii hapa chini
 

Attachments

  • nyerere_on_independence_day_1961-3_thumb.jpg
    nyerere_on_independence_day_1961-3_thumb.jpg
    5 KB · Views: 40
  • nyerere_on_independency_day_1961_thumb.jpg
    nyerere_on_independency_day_1961_thumb.jpg
    6.4 KB · Views: 40
Katika mapokezi hayo hakuna vurugu zilizotokea. Kumbe daima ni Polisi ndiyo wanaoanzisha VURUGU na kudanganya UMMA kuwa ni wafuasi wa CHADEMA.
NIMEKUPATA MKUU!
 
Hongera sana Mbowe kwa ku-renew dhamana na pole sana kwa kuswekwa "andar" kwa siku tatu, nakuasa tu, wewe ukiwa ni kiongozi wa chama na unaependwa na walalahoi wengi wa mikoa ya Kaskazini, siku zingine usicheze na Mahakama, fata nyayo za Slaa, mwenzako aliposikia anaitwa akaacha mambo yoote akaenda haraka kuripoti.

Dah! yani wewe bado unafikiri ni kaskazini tu Duuh! kazi kweli kweli!! nakuonea huruma kwa kuamini hivyo! lakini napenda kukufahamisha kuwa sasa CDM ni chama kiongozi. hao ccm wamebakia kuwa chama tawala tu sasa kama na wewe unafaidika na hayo magama ni haki yako kuamini hivyo bakia na upofu wako.
 
Hongera sana Mbowe kwa ku-renew dhamana na pole sana kwa kuswekwa "andar" kwa siku tatu, nakuasa tu, wewe ukiwa ni kiongozi wa chama na unaependwa na walalahoi wengi wa mikoa ya Kaskazini, siku zingine usicheze na Mahakama, fata nyayo za Slaa, mwenzako aliposikia anaitwa akaacha mambo yoote akaenda haraka kuripoti.
Sehemu niliyobold inanipa mashaka juu ya ufikiri wako!! Yaani kweli Mbowe anapendwa mikoa ya Kaskazini tena na walalahoi, basi bana wewe huna macho au umejizuia kwa maksudi kuelewa!
 
Hongera sana Mbowe kwa ku-renew dhamana na pole sana kwa kuswekwa "andar" kwa siku tatu, nakuasa tu, wewe ukiwa ni kiongozi wa chama na unaependwa na walalahoi wengi wa mikoa ya Kaskazini, siku zingine usicheze na Mahakama, fata nyayo za Slaa, mwenzako aliposikia anaitwa akaacha mambo yoote akaenda haraka kuripoti.

Kampe ushauri huo mmeo au aliyekutuma, Mbowe hahitaji na hatahitaji ushauri wa kipuuzi kutoka kwa mpuuzi kama wewe
 
Hongera sana Mbowe kwa ku-renew dhamana na pole sana kwa kuswekwa "andar" kwa siku tatu, nakuasa tu, wewe ukiwa ni kiongozi wa chama na unaependwa na walalahoi wengi wa mikoa ya Kaskazini, siku zingine usicheze na Mahakama, fata nyayo za Slaa, mwenzako aliposikia anaitwa akaacha mambo yoote akaenda haraka kuripoti.

FF inaelekea una mtindio wa akili. suala la mikoa ya kaskazini unalitoa wapi? Ningekutukana tusi baya hapa lakini naogopa ban!!! Hebu tuambie unalipwa Shs, ngapi na wana magamba kuja hapa kuandika upupu!!!!

Tiba
 
FF inaelekea una mtindio wa akili. suala la mikoa ya kaskazini unalitoa wapi? Ningekutukana tusi baya hapa lakini naogopa ban!!! Hebu tuambie unalipwa Shs, ngapi na wana magamba kuja hapa kuandika upupu!!!!

Tiba
Tiba Huyu FF anajua hasa kitu anachoandika, kazi yake ni kuchangamsha jukwaa, tusiwe so positive minded tuwe constructive minded!!!!!!! Tusiangukie upande mmoja tuu, tuangalia na the other side, mawazo yake!!!!!!!
 
Hongera sana Mbowe kwa ku-renew dhamana na pole sana kwa kuswekwa "andar" kwa siku tatu, nakuasa tu, wewe ukiwa ni kiongozi wa chama na unaependwa na walalahoi wengi wa mikoa ya Kaskazini, siku zingine usicheze na Mahakama, fata nyayo za Slaa, mwenzako aliposikia anaitwa akaacha mambo yoote akaenda haraka kuripoti.

kadada hako nako......matatizo matupu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Any way, nimekuwa nafuatilia posts zako zote; nikagundua siyo great thinker ila ni shabiki fulani. Ni Haki yako pia.
 
Naona Nape kawapata kweli kweli, manake jana alikuwa anajisifia kwamba sasahivi vijana wake wako kazini.

Bahati mbaya sana wewe badala ya kutumia walau akili yako kidogo tu kujenga hoja, umegeuka kuwa debe.

Watu wamejitokeza kwa wingi dar pasipokujali kabila wala dini zao wewe unakurupuka na mambo yako ya kibaguzi.

Sasa endeleeni kuimba kaskazini, siku mkishituka kusini nayo imegeuka kuwa kaskazini!!

Haaaa, unanchekesha! utajijuuuu!
 
kadada hako nako......matatizo matupu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Any way, nimekuwa nafuatilia posts zako zote; nikagundua siyo great thinker ila ni shabiki fulani. Ni Haki yako pia.

Mkishindwa hoja huwa mnaanza kuhaha.
 
Sehemu niliyobold inanipa mashaka juu ya ufikiri wako!! Yaani kweli Mbowe anapendwa mikoa ya Kaskazini tena na walalahoi, basi bana wewe huna macho au umejizuia kwa maksudi kuelewa!

Tusimshangae sana huyo FF yaani yy yupo kusini kwenye mpaka wa Msumbiji na TZ kwa hiyo anamaanisha anapendwa na mikoa ya kaskazini mwa yy alipo yaani TZ nzima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom