Napenda matamko ya wasomi !
Tatizo Halihusu hawa MAASKOFU; Tatizo zaidi liko kwenye SIASA za NCHI; Uongozi wa NCHI ndio Unaopaswa Kuweka VIKAO na WAANDISHI wa HABARI kuona ni njia gani ya kutatua TATIZO HILO...
Nilazima muwafundshe watoto wenu nidhamu, adabu na ustaarabu. Naamini mtoto wa Kiislam hawezi kkojolea Bibilia kwani wanafundishwa nidhamu , adabu na kuheshimu wengine
Mlikuwa na kawaida ya kukojoa wima tukawafundisha ustaarabu, sasa niwakati muwafundishe watoto wenu, Kama hamtofundisha watoto wenu sehemu za kukojoa chamtamakuni mtaendelea kukiona
Nilazima muwafundshe watoto wenu nidhamu, adabu na ustaarabu. Naamini mtoto wa Kiislam hawezi kkojolea Bibilia kwani wanafundishwa nidhamu , adabu na kuheshimu wengine
Mlikuwa na kawaida ya kukojoa wima tukawafundisha ustaarabu, sasa niwakati muwafundishe watoto wenu, Kama hamtofundisha watoto wenu sehemu za kukojoa chamtamakuni mtaendelea kukiona
Tatizo Halihusu hawa MAASKOFU; Tatizo zaidi liko kwenye SIASA za NCHI; Uongozi wa NCHI ndio Unaopaswa Kuweka VIKAO na WAANDISHI wa HABARI kuona ni njia gani ya kutatua TATIZO HILO...
Duh, ukiwa Rome fanya ya kama waroma..sioni kwanini kwa akili yako timamu uamue chafua hali ya hewa kwa haya.Jiongoze kwa kujitoa katika uyaaminiyo kwa upofu.Waislam wamefanya sana kufuru kwa Biblia duniani kote kwa vile wameaminishwa kuwa imeandikwa na watu na haijatoka kwa Mungu.Ni wachache sana wanaoweza Jiuliza iweje Injili ya Yesu iliyotoka kwa Mungu ipotezwe wakati Mungu kasema Neno lake halipotezwi.Sasa kama haipotezwi nani anayo?Obvious mistari michache ya Quran haiwezi kuwa Injili ya Yesu.Sidhani kama hapa tatizo ni kutofundishwa adabu na ustaarabu,ila kufundishwa kutostaarabika ndipo kulipotufikisha hapa.Ndio maana hata waliofanya mambo kama wamezimwa ubongo bado roho ya Mungu itufanyayo tujutie matendo yetu na kuomba samahani haipo kabisa ktk watu wa kundi hili.
Wazanzibar mnatia huruma kwa vile mmepotoshwa sana,kiasi cha kuwafanya muwe vituko ila kujitambua nikudogo sana.Kukojoa kwa kuchuchumaa mwanamume si salama sana kiafya kama unavyotaka tupotoke kama wewe?Mwanamume kaumbwa aweze tupa mkojo mbali na hivyo kujiweka mbali sana na "splash" inayoweza mrudishia magonjwa kupiti amatone yanaruka baada ya kugonga chini ,ikiwa unapotua mkojo pana infections.Wanawake wanapata sana magonjwa kwa kutumia vyoo vya public visivyo visafi bila uangalifu.Ustaarabu si kufanya vitu vilivyoaminika miaka hiyo kuwa bora katika dunia ya giza ambayo vitu hivyo vimepitwa na wakati.Kipindupindu huwakuta sana watu wanajisafisha kwa maji wanapokwenda haja kubwa halafu hawanawi mikono kwa sabuni na maji mengi.Nyumba nyingi zina vikopo vidogo sana, na maji yake ni machafu tuu kw akukaa sana, achilia mbali kutokuw ana sabuni kabisa.mwisho huacha backeria na virus wabaya ktk makomeo ya milango, huwapa watu kw akupeana mikono n.k.
Hembu amka kidogo na kuachana na fikra za akina ponda za kujisifu kwa ujinga na kulalamikia wanaume wanaojenga nchi ,hata mnapoboa nchi.Hembu jiulize hao wanaochoma makanisa na Shule wamewahi jenga ngapi?wanajua material zilizotumika na labour zimetumia resources kiasi gani?Au elimu yao haitambui hayo?
Walisemaga chagufco la "Mungu leo imekuwaje,?
Shetani anapokuwa kazini, zaidi ni uharibifu. Hawa ndugu zetu wanafanya kazi ya baba yao. Mungu uwape moyo wa kutumia hekima zaidi kuliko hisia.