Che Guevara
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 1,236
- 346
Nilazima muwafundshe watoto wenu nidhamu, adabu na ustaarabu. Naamini mtoto wa Kiislam hawezi kkojolea Bibilia kwani wanafundishwa nidhamu , adabu na kuheshimu wengine
Mlikuwa na kawaida ya kukojoa wima tukawafundisha ustaarabu, sasa niwakati muwafundishe watoto wenu, Kama hamtofundisha watoto wenu sehemu za kukojoa chamtamakuni mtaendelea kukiona
Mhh... Hii inaonyesha kuwa tamko la kutakiwa na UVUMILIVU na UPENDO pamoja na kuchomewa makanisa mengi na Biblia kuchanwachanwa halijawa appreciated kabisa.
Mambo ya kuchapwa kibao na kugeuza shavu la pili ili uchapwe tena inaelekea hayafai tena. Nadhani sasa ukichapwa kibao nawe rudishia, au toa kichapo kikali zaidi.
Hapo tutaheshimiana.