jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
mashambulizi ya mwisho...ushindi DAIMA
Umekosea kuandika hilo neno la mwisho, lisomeke CHADEMA, Sentesi itakuwa, "Ushindi" chadema.
mashambulizi ya mwisho...ushindi DAIMA
Nimetembea kuanzia KIA, Kikatiti, Maji ya Chai na Usariver! kote huku hawataki kabisa kuiskia CDM!
Wewe lazima utakuwa na upofu!jamani asiwadanganye huyo hao ni mawakala wametoka kuapishwa na hao boda boda wote ni chadema hapo wamefata pesa tuuu ..magamba yamekwisha huku ni mkitaka kujua hawana kitu ni kesho siku ya ufungaji ndo utaona wapenzi wao watakavyoletwa kwa malori na jumapili ni kifo chao hawana chao hao kudadeki magamba masikini weeee jimbo lileeee chademaaa
View attachment 50517
Mwendo wa Ushindi.....
wewe baki tu kwenye Keyboard yako dar es slaam ukipiga kelele kuwa CDM inashinda,,,,,kamuongopee nyumba ndogo yako!
View attachment 50517
Mwendo wa Ushindi.....
wewe baki tu kwenye Keyboard yako dar es slaam ukipiga kelele kuwa CDM inashinda,,,,,
Wenzako tulio field tunafahamu what is real happening. Viongozi wa CDM hii wiki yote wameingiwa na hofu kubwa sana!!
Mkuu, we umefika Arusha na mafuriko ya uchaguzi wa Arumeru!
Utaondoka, utatuacha na bahati mbaya utakuwa mpole sana siku ya kupanda saibaba pale stendi ya CHAWOTE!
Nimetembea kuanzia KIA, Kikatiti, Maji ya Chai na Usariver! kote huku hawataki kabisa kuiskia CDM!
Acha kunichekesha...KIA na Usariver kuna umbali gani?? Unajua natumia means gani?We mwongo. Ulitembeaje umbali wote huo kwa siku moja? Je ulikopita ni Barabarani au vijijini /kwenye makazi ya watu? Kama ni bararabarani, natumai ilikutana na magari na si watu, na hao uliokutana nao ni wale waliopewa 20000/= na si vinginevyo
timu ya ushindi hii hapa.....
View attachment 50525
Acha kunichekesha...KIA na Usariver kuna umbali gani?? Unajua natumia means gani?
wewe baki tu kwenye Keyboard yako dar es slaam ukipiga kelele kuwa CDM inashinda,,,,,
Wenzako tulio field tunafahamu what is real happening. Viongozi wa CDM hii wiki yote wameingiwa na hofu kubwa sana!!