SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,766
Nafikiri hizi lazima zitakuwa mojawapo ya attachment kwenye lile kabrasha lilopelekwa ICC.VIVA CHADEMA VIVA UKAWA
Kila mkutano wao CHADEMA Lazima watoe kafara Halafu wanabambikizia polisi
Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi ,waliokuua wamepandishwa vyeo kwa kazi nzuri iliyotukuka
Kwani Esther Bulaya nae nimwandishi?
Unayejiita "Remote" we ni shetani na kumbuka Mungu anakuona na hiyo roho yako ya ukurutu..yaaani unafurahia vitendo vya polisi kwa kuviita kafara za chadema...kwa kweli umemkosea Mungu adabu sana...
Sio kosa ilimradi ujiridhishe kwamba habari ni ya kweli pili iwe imetoka kwenye reliable source kama ina mashaka haina ushahidi wa kutosha na source haijulikani muteHivi kwa sheria inayoanza Leo ya Cyber crime, ukitundika picha za matukio kama hata Ni kosa?
Asante tanzania;tumemsahau kabisa,huyu askari yupo anakula bata,ndugu wa huyu mwandushi hampo?
Sio waandishi tu, ndo hulka yetu watzee porojo nyingi, kwakweli kuongea tumejaaliwaKesi gani? Hii uwa inapigwa tu danadana, waandishi wenzie wote wamemsaliti...hawapiganii tena swala lake na wote wamekuwa makada wa ccm
Anakula bata wapi?... ndio yaleyale yakukurupuka.