georgemwaipungu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,779
- 588
Na wizi wa Kikwete..POLE ndugu yangu.
..tusiwalaumu wananchi kwa kuichagua CCM.
..wapinzani hawakufanya kazi ya kutosha kuwahamasisha wananchi.
..kampeni za upinzani na mgombea wao hawakuwa na mvuto hata kidogo.
..pamoja na mgombea wetu kuwa mgonjwa na kushindwa kuhutubia kila mahali, bado wananchi walijitokeza kwa wingi kupigia kura wapinzani.
..wapinzani tujilaumu sisi wenyewe kwa kuweka mgombea dhaifa na kuendesha kampeni zisizo na mvuto.