Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Mkuu Ritz
Angalia picha utaona wenye majonzi ya kweli na wanafiki waliokwenda kutafuta picha za magazeti; Dr. Slaa anaona hata aibu kuingalia kamera kwasababu ya dhambi unafiki inamsuta, masikini kama watoto uyatima kwa tamaa za kisiasa inasikitisha sana. R.I.P Mwangosi
Chama
Gongo la mboto DSM
Kweli umefika mwisho wa reli