Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,733
- 218,318
Hii ndio Taarifa mpya kwa sasa kutoka Mwanza, Kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema ) kwenye majimbo ya Ilemela na Nyamagana kinafanya Mkutano Mkuu kwenye Majimbo, Mkutano huu ni kwa Mujibu wa Katiba ya Chama.
Katibu Mkuu wa Chama hicho John Mnyika ataongoza Mkutano huo.
Bali kilichoshangaza wengi ni kusimama kwa shughuli zote Jijini Mwanza, kutokana na mkutano huu wa CHADEMA, hakuna usafiri wowote unaenda pengine zaidi ya uelekeo wa Mkutano, jambo hili limeanza kuzitisha Mamlaka za Mji huo.
Lakini tunajiuliza, kulikoni CHADEMA kuungwa mkono kwa kiwango hiki, tena kwenye mkutano mdogo wa majimbo tu?
Katibu Mkuu wa Chama hicho John Mnyika ataongoza Mkutano huo.
Bali kilichoshangaza wengi ni kusimama kwa shughuli zote Jijini Mwanza, kutokana na mkutano huu wa CHADEMA, hakuna usafiri wowote unaenda pengine zaidi ya uelekeo wa Mkutano, jambo hili limeanza kuzitisha Mamlaka za Mji huo.
Lakini tunajiuliza, kulikoni CHADEMA kuungwa mkono kwa kiwango hiki, tena kwenye mkutano mdogo wa majimbo tu?