Gamba ni gamba tu, likiwa la kike, gamba, likiwa la kiume, gamba, likiwa la kijana, gamba, hata likiwa la mzee bado ni gamba tu. "Kila mtu alitoa rushwa sema walizidiana viwango"-Baba Mwanawasha 'AKIKEMEA' rushwa katika uchaguziAibu tupu,sasa hawa wanatofauti gani na wale wanaosutana uswahilini?
Ndo uchaguzi wa amani huu?
John Tendwa upo?
dah............. hiki kidada sasa kiachane na saisa kisome basi kiwe someone
Mkuu huyu mama ndo mwenye matatizo
kama kashinda kwa kura zote zile, basi wanawake wengi wana matatizo kuliko tulijualo, na kama ni hivyo basi shyrose aachanae na wenye matatizo ajenge maisha yake na familia yake, umri unaenda na yeye yuko bize kushindana na wenye matatizo sugu