simba 716, kilango 310, majige 7
Na hapo unaweza ukakuta huyo Majige ndo bora zaidi kuliko hao wengine wawili kwa maana ya uwezo wa kiuongozi ila imekula kwake kwa sababu hana mtandao. Hilo ndo chama kubwa, hapendwi mtu inapendwa pochi!
simba 716, kilango 310, majige 7
kama kashinda kwa kura zote zile, basi wanawake wengi wana matatizo kuliko tulijualo, na kama ni hivyo basi shyrose aachanae na wenye matatizo ajenge maisha yake na familia yake, umri unaenda na yeye yuko bize kushindana na wenye matatizo sugu
Za nn mkuu,zinachefua hizo wala sio za kuweka humo,zinatosha hatutaki kuharibiwa siku humu ndani banaa Haaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!
sasa kwanini ulikaa kimya kama wewe siyo jinga..au ulitaka nani apost..
Shyrose akikwaluzana na wapambe wa Sophia Simba Wapambe wa Mgombea Uenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania, Sophia Simba wakimfukuza mjumbe mwenzao wa mkutano mkuu wa jumuiya hiyo,Shyrose Banji (kushoto) baada Mgombea huyo na Shyrose kurushiana maneno ndani ya Ukumbi Chuo cha Mipango, mjini Dodoma ulipokuwa ukifanyika uchaguzi huo. Kulia ni Sophia Simba akitaka kuinuka kwenda kupambana na Shy-Rose.
Aibu tupu,sasa hawa wanatofauti gani na wale wanaosutana uswahilini?
hawana nguvu ya hoja ni misuli na maneno machafu tu na rushwa, lakini kujenga hoja za kuwakomboa watanzania na umaskini hakuna kitu, kichwa kimoja cha CDM mfano Ester Wasira ni vichwa elfu aina ya kina Sofia Simba!KWA NGUVU HII CHADEMA WANA KAZI SANA KUWATOA CCM MADARAKANI
WAMEJIDHATITI SANA KWA KWELI
JIPANGENI UPYA CHADEMONSTRATIONS...
:wink1::hail::sing:
Na hapo unaweza ukakuta huyo Majige ndo bora zaidi kuliko hao wengine wawili kwa maana ya uwezo wa kiuongozi ila imekula kwake kwa sababu hana mtandao. Hilo ndo chama kubwa, hapendwi mtu inapendwa pochi!
ukiangalia haraka haraka utasikia watz wanacheka kuwa hayo ni mambo ya ccm lakini wengi wetu hatujui kuwa maamuzi ya hawa jamaa athari zake zinaonekana hata kwetu sisi tusiokuwa upande huo. Watu wanaochaguliwa hapa wanakuwa sehemu ya maamuzi ya mustakabali wa taifa mfano SSRA, mikataba feki, utawala mbovu ambavu wote tunauguza maumivu yake kwa sasa.Na hapo unaweza ukakuta huyo Majige ndo bora zaidi kuliko hao wengine wawili kwa maana ya uwezo wa kiuongozi ila imekula kwake kwa sababu hana mtandao. Hilo ndo chama kubwa, hapendwi mtu inapendwa pochi!
by the way, ni wangapi wako hizi nafasi (on red) na marital status zao zinasoma 'married' na wanaishi na waume zao mpaka huu muda wa ubunge wao!????Wote Vitu maalumu hao..