Ritz na zomba mama zenu wanavuana nguo mupo wapi?...ingekuwa chadema pangechafuka humu jf
Aibu tupu,sasa hawa wanatofauti gani na wale wanaosutana uswahilini?
Mimi jamani naomba kuelimishwa kidogo...Ni hiviiiiii....hivi UWT ni ya wanawake wa ccm tu au ni wanawake wote wa Tz???
Mbona cdm mwanza walizichapa na mkakaa kimya.?
matusi na kurushiana maneno imekuwa ni sera ya ccm .wanachama wake hawana cha kueleza wanapobanwa maswali hujibu kwa maneno ya jeuri
Aibu tupu,sasa hawa wanatofauti gani na wale wanaosutana uswahilini?