Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Mwakaboko unaniamsha uchungu na hasira kwa maswali yako haya!!!!!!!!!!!!
DAUDI MWANGOSI alikosa nini? mpaka kuhukumiwa adhabu ya kifo na adhabu kutekelezwa haraka haraka na JESHI LA POLISI. D.M alikosa nini D.M alikosa nini? nakosa majibu mwenye kujuA NAOMBA ANIELEWESHE JAMANI