johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Huyu mbunge wangu mstaafu mchungaji Msigwa ndiyo naweza kusema ana spirit ya Upinzani na hana bei
Fikiria namna alivyomkatalia Rais wa awamu ya 5 Shujaa Magufuli aka Jiwe asimlipie Faini na kumtoa Jela huku Komredi Polepole akiwa ameshafika gerezani kumtoa
Halafu leo mwenyekiti wa Chadema anasema duniani kote mtu hakatai iwe apology au nini sijui!
Akina mchungaji Msigwa, Sugu na Heche waachiwe jukumu la kutuongoza Mapambano ya katiba mpya
Mlale Unono
Fikiria namna alivyomkatalia Rais wa awamu ya 5 Shujaa Magufuli aka Jiwe asimlipie Faini na kumtoa Jela huku Komredi Polepole akiwa ameshafika gerezani kumtoa
Halafu leo mwenyekiti wa Chadema anasema duniani kote mtu hakatai iwe apology au nini sijui!
Akina mchungaji Msigwa, Sugu na Heche waachiwe jukumu la kutuongoza Mapambano ya katiba mpya
Mlale Unono