JackisonDubai
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 537
- 1,274
Mbunge msitaafu wa Jimbo la Iringa mjini kupitia CHADEMA mchungaji Peter Msigwa ameivaa serikali ya Rais Samia kutokana na kushuka Kwa nidhamu ya watumishi wa umma nchini.
Msigwa amesema utendaji kazi wa watumishi wa Serikali kwa sasa ni wa hovyo sana tofauti na kipindi cha Rais Magufuli.
Sasa hivi rushwa, ufisadi na kupoteza muda ni kama fashion kwenye serikali ya Rais Samia.
Msigwa amesema utendaji kazi wa watumishi wa Serikali kwa sasa ni wa hovyo sana tofauti na kipindi cha Rais Magufuli.
Sasa hivi rushwa, ufisadi na kupoteza muda ni kama fashion kwenye serikali ya Rais Samia.