Mnyama Hatari
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 335
- 82
- Thread starter
- #21
Huwezi kunifanyia mpango na mie nikapata hako kahongo?
Ntakuwa mnoko hadi kwa mods, nawala ban wote nabaki mwenyewe.
Ukiukwaa wa kwanza kumla ban awe Paw
Huwezi kunifanyia mpango na mie nikapata hako kahongo?
Ntakuwa mnoko hadi kwa mods, nawala ban wote nabaki mwenyewe.
Nije mara ngapi na ilhali nipo Simiyu tayari....Sasa unampa taizi Hatari hadi na mie???
Bht, ukija sayu ntakutesa wewe??
Heheeee hamna bana huoni nimepunguza....pole pole ntaacha kabisaa
Kwani utakataa kula wale kuku wewe kwanza?
Huwezi kunifanyia mpango na mie nikapata hako kahongo?
Ntakuwa mnoko hadi kwa mods, nawala ban wote nabaki mwenyewe.
nilijua imefungiwaaaaaaaa nikapata homa ghafla.....
mi nilizani tigo wamezima mtambo kwa kuhofia sunami iliyotangazwa na tma
Dah hatimaye iko juu
Heheheee msambaa nahisi anauza mishikaki ya nyau shauri yako...enda kwa mgogo Acheli ukajaribuKuku wa kifisadi staki mimi. Heri niende zangu kwa msambaa
Ilikuwa chini kwani?Dah hatimaye iko juu
Heheheee msambaa nahisi anauza mishikaki ya nyau shauri yako...enda kwa mgogo Acheli ukajaribu
Heehheeee huwa unawatuma wewe sio bure...Wale nyau rafiki zako?
Heehheeee huwa unawatuma wewe sio bure...
Tena ntamshtua aje awawinde apate mishikaki.
C'mon now...nina mpango wa kwenda kwa msambaa sasa ukianza hivyo tena naahirisha...lol! Tena mweusi ayayayaaaa!!Nenda uani ukamfungulie mlango yule mweusi mweusi....kaja kukusabahi
C'mon now...nina mpango wa kwenda kwa msambaa sasa ukianza hivyo tena naahirisha...lol! Tena mweusi ayayayaaaa!!
mi nmekutana na error 502 getaway problem. Nikajua paw karudi.
Usiogope bana...nyau sio wanyama hatari.
Hehehee sasa ukibaki mwenyewe ndo inakuwaje tena kama si kujila ban na wewe?
Subiri nikifikia umri wa kustaafu nitakupendekeza
nilijua imefungiwaaaaaaaa nikapata homa ghafla.....
me ilikuwa inaniandikia hivi 'ngx 502 bad gateway' sijui ndio nini!