bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Sasa nyie kama mnaona sio haki ,nakubalije?Mimi naelewa kabisa unachokisema lakini watu kaa bht hata hawajui unaongelea nini.
Halafu kuna ile mtu anakuanza yeye, mi huwa naona angekula ban yule anayeanza uchokozi bana...