Mnyama Hatari
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 335
- 82
Kwa takribani saa zima na ushee JF haikuwa hewani kabisa na meseji niliyokuwa napata iko consistent na ile unayopata kama umekula server ban.
Sasa nikadhani ndo nshalimwa hilo ban kumbe wapi! Naona kulikuwa na hitilafu kubwa.
Sasa nikadhani ndo nshalimwa hilo ban kumbe wapi! Naona kulikuwa na hitilafu kubwa.