WTI.mH4.png


yanashuka kuwa mpolee ndugu
 
Bei ya mafuta iachwe ipangwe na soko, serikali iingilie pale inapoona imezidi sana.
Soko huria laweza kushusha bei kwa zaidi ya 20% kwa kuondoa ukiritimba na rushwa inayoweza kujitokeza.
 
Kwa bei hizi mpya za mafuta ni wazi kutatokea ugumu mkali sana wa maisha tujiandae wananchi kuendelea kuchangia kodi kwa serikali
IMG-20230802-WA0001.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom