Kupanda bei ya mafuta siyo dola kupaa bali ni ufisadi wa kutisha wa EWURA

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
EWURA wamewakumbatia Bulk suppliers wako takribani 5 na wengi wao wana asili ya India. Hawa wazabuni hukaa na kupanga bei ya kuuza mafuta kwa bei waitakayo na hivyo kutufukarisha lakini baadhi ya wenzetu walioko EWURA na Wizara ya Nishati wamevuna utajiri wa kutisha.

Maswali yafuatayo EWURA kamwe hawawezi kuyajibu nayo ni:-
Kwanza, EWURA watupe sababu za mafuta kuagizwa kutoka India ambao ni wachuuzi tu wa mafuta kutoka Urusi?

Pili, kwanini EWURA hawanunui mafuta moja kwa moja kutoka Urusi ambapo pipa moja la lita 100 lauzwa dola 30 chini ya bei ya dunia?

Tatu, kwanini EWURA ni walaini sanaaaaaaa kuitia hasara taifa kwa kununua mafuta bei ambayo ni juu ya bei ya soko? India inaponunua mafuta ya Urusi kwa punguzo la dola 30 hilo punguzo hawalipeleki kwa walaji bali hubaki nalo. Pia, wanaweka kodi zao sasa ukichanganya na ufisadi uliomo humo na kodi zetu bei ya mafuta kwa mlaji lazima iwe ya juu kupindukia!

Nne, kwanini wazabuni wanaoshinda zabuni hujirudiarudia makampuni yaleyale kama hayajajijengea mtandao hapo EWURA na Wizara husika?

Tano, kwanini EWURA wao wenyewe wasiagize mafuta kutoka Urusi na kupata punguzo la dola 30 kila pipa na kuachana na kodi za India na ufisadi wao?

Sita, kwanini serikali bado imeweka kodi za EWURA katika ankara za umeme wakati wanao uwezo wa kujiendesha yenyewe? Tunasema ruzuku kwa EWURA kumechangia sana kuuwa ubunifu maana wanashawishika kuweka mbele ufisadi wao na masilahi ya taifa baadaye wakijua tutawazawadia kwa kufanya hivyo kupitia ruzuku za kodi mbalimbali.

Saba, hivi ni wahindi tu ndiyo wenye uwezo wa kuagiza mafuta?

Nane, kwanini tununue mafuta kwa dola wakati Urusi wako tayari tununue mafuta kwa hela zetu za madafu? Hivi kwanini bado tunaongelea dola wakati tupo dunia ya BRICS?

Ninawakilisha.

Pia soma: Petroli na Diesel bei Juu. Dola yaelezwa kuwa sababu ya bei kupaa
 
EWURA wamewakumbatia BULK SUPPLIERS wako takribani 5 na wengi wao wana asili ya India. Hawa wazabuni hukaa na kupanga bei ya kuuza mafuta kwa bei waitakayo na hivyo kutufukarisha lakini baadhi ya wenzetu walioko EWURA na Wizara ya Nishati wamevuna utajiri wa kutisha.


Maswali yafuatayo EWURA kamwe hawawezi kuyajibu nayo ni:-

Kwanza, EWURA watupe sababu za mafuta kuagizwa kutoka India ambao ni wachuuzi tu wa mafuta kutoka Urusi?

Pili, kwanini EWURA hawanunui mafuta moja kwa moja kutoka Urusi ambapo pipa moja la lita 100 lauzwa dola 30 chini ya bei ya dunia?

Tatu, kwanini EWURA ni walaini sanaaaaaaa kuitia hasara taifa kwa kununua mafuta bei ambayo ni juu ya bei ya soko? India inaponunua mafuta ya Urusi kwa punguzo la dola 30 hilo punguzo hawalipeleki kwa walaji bali hubaki nalo. Pia, wanaweka kodi zao sasa ukichanganya na ufisadi uliomo humo na kodi zetu bei ya mafuta kwa mlaji lazima iwe ya juu kupindukia!

Nne, kwanini wazabuni wanaoshinda zabuni hujirudiarudia makampuni yaleyale kama hayajajijengea mtandao hapo EWURA na Wizara husika?

Tano, kwanini EWURA wao wenyewe wasiagize mafuta kutoka Urusi na kupata punguzo la dola 30 kila pipa na kuachana na kodi za India na ufisadi wao?


Sita, kwanini serikali bado imeweka kodi za EWURA katika ankara za umeme wakati wanao uwezo wa kujiendesha yenyewe? Tunasema ruzuku kwa EWURA kumechangia sana kuuwa ubunifu maana wanashawishika kuweka mbele ufisadi wao na masilahi ya taifa baadaye wakijua tutawazawadia kwa kufanya hivyo kupitia ruzuku za kodi mbalimbali.

Saba, hivi ni wahindi tu ndiyo wenye uwezo wa kuagiza mafuta?

Ninawakilisha
CCM eatakuroga ujue.

Tunakusanya hela za kampeni. Hivi sasa hali ni tete ujue
 
If you build an army of 100 dogs that is being led by a lion, all dogs will fight as a lion and the reverse is true for when an army of 100 lions being led by 1 dog, all lions will fight like a dog and get beaten up just as dogs that have been led to believe.

Right now we are an army of lions being led by a dog hivyo kila linalotokea na kuendelea nchini lina akisi aina ya uongozi wetu wa juu kabisa.

Mungu ibariki Tanzania.
 
EWURA wamewakumbatia Bulk suppliers wako takribani 5 na wengi wao wana asili ya India. Hawa wazabuni hukaa na kupanga bei ya kuuza mafuta kwa bei waitakayo na hivyo kutufukarisha lakini baadhi ya wenzetu walioko EWURA na Wizara ya Nishati wamevuna utajiri wa kutisha.

Maswali yafuatayo EWURA kamwe hawawezi kuyajibu nayo ni:-
Kwanza, EWURA watupe sababu za mafuta kuagizwa kutoka India ambao ni wachuuzi tu wa mafuta kutoka Urusi?

Pili, kwanini EWURA hawanunui mafuta moja kwa moja kutoka Urusi ambapo pipa moja la lita 100 lauzwa dola 30 chini ya bei ya dunia?

Tatu, kwanini EWURA ni walaini sanaaaaaaa kuitia hasara taifa kwa kununua mafuta bei ambayo ni juu ya bei ya soko? India inaponunua mafuta ya Urusi kwa punguzo la dola 30 hilo punguzo hawalipeleki kwa walaji bali hubaki nalo. Pia, wanaweka kodi zao sasa ukichanganya na ufisadi uliomo humo na kodi zetu bei ya mafuta kwa mlaji lazima iwe ya juu kupindukia!

Nne, kwanini wazabuni wanaoshinda zabuni hujirudiarudia makampuni yaleyale kama hayajajijengea mtandao hapo EWURA na Wizara husika?

Tano, kwanini EWURA wao wenyewe wasiagize mafuta kutoka Urusi na kupata punguzo la dola 30 kila pipa na kuachana na kodi za India na ufisadi wao?

Sita, kwanini serikali bado imeweka kodi za EWURA katika ankara za umeme wakati wanao uwezo wa kujiendesha yenyewe? Tunasema ruzuku kwa EWURA kumechangia sana kuuwa ubunifu maana wanashawishika kuweka mbele ufisadi wao na masilahi ya taifa baadaye wakijua tutawazawadia kwa kufanya hivyo kupitia ruzuku za kodi mbalimbali.

Saba, hivi ni wahindi tu ndiyo wenye uwezo wa kuagiza mafuta?

Nane, kwanini tununue mafuta kwa dola wakati Urusi wako tayari tununue mafuta kwa hela zetu za madafu? Hivi kwanini bado tunaongelea dola wakati tupo dunia ya BRICS?

Ninawakilisha.

Pia soma: Petroli na Diesel bei Juu. Dola yaelezwa kuwa sababu ya bei kupaa
Kiufupi huku sisi ni watumwa tu..., bila kuwang’oa kwa nguvu hawa mbwa, tukubali hata kuuzwa wakitaka kutuuza..
 
EWURA wamewakumbatia Bulk suppliers wako takribani 5 na wengi wao wana asili ya India. Hawa wazabuni hukaa na kupanga bei ya kuuza mafuta kwa bei waitakayo na hivyo kutufukarisha lakini baadhi ya wenzetu walioko EWURA na Wizara ya Nishati wamevuna utajiri wa kutisha.

Maswali yafuatayo EWURA kamwe hawawezi kuyajibu nayo ni:-
Kwanza, EWURA watupe sababu za mafuta kuagizwa kutoka India ambao ni wachuuzi tu wa mafuta kutoka Urusi?

Pili, kwanini EWURA hawanunui mafuta moja kwa moja kutoka Urusi ambapo pipa moja la lita 100 lauzwa dola 30 chini ya bei ya dunia?

Tatu, kwanini EWURA ni walaini sanaaaaaaa kuitia hasara taifa kwa kununua mafuta bei ambayo ni juu ya bei ya soko? India inaponunua mafuta ya Urusi kwa punguzo la dola 30 hilo punguzo hawalipeleki kwa walaji bali hubaki nalo. Pia, wanaweka kodi zao sasa ukichanganya na ufisadi uliomo humo na kodi zetu bei ya mafuta kwa mlaji lazima iwe ya juu kupindukia!

Nne, kwanini wazabuni wanaoshinda zabuni hujirudiarudia makampuni yaleyale kama hayajajijengea mtandao hapo EWURA na Wizara husika?

Tano, kwanini EWURA wao wenyewe wasiagize mafuta kutoka Urusi na kupata punguzo la dola 30 kila pipa na kuachana na kodi za India na ufisadi wao?

Sita, kwanini serikali bado imeweka kodi za EWURA katika ankara za umeme wakati wanao uwezo wa kujiendesha yenyewe? Tunasema ruzuku kwa EWURA kumechangia sana kuuwa ubunifu maana wanashawishika kuweka mbele ufisadi wao na masilahi ya taifa baadaye wakijua tutawazawadia kwa kufanya hivyo kupitia ruzuku za kodi mbalimbali.

Saba, hivi ni wahindi tu ndiyo wenye uwezo wa kuagiza mafuta?

Nane, kwanini tununue mafuta kwa dola wakati Urusi wako tayari tununue mafuta kwa hela zetu za madafu? Hivi kwanini bado tunaongelea dola wakati tupo dunia ya BRICS?

Ninawakilisha.

Pia soma: Petroli na Diesel bei Juu. Dola yaelezwa kuwa sababu ya bei kupaa
.
Screenshot_20230221-101022.jpg
 
Back
Top Bottom