1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Movie iko hivi wanajamii, pinda alikua anajibu mambo muhimu ambayo madaktari walikua wanataka yatimizwe b4 hawajarudi kazini akaanza kupangua hoja moja baada ya nyingine mwishoni ndo akaanza kuelezea profile ya huyo dr ulimboka kuwa alishawahi kuongoza mgomo wa wa madaktari mwaka 2005,ndo akaanza kumchambua tangu anasoma chuo hadi hapo alipo.pinda anadai mgomo huo ulianzia kwa madaktari waliokua interniship muhimbili(mafunzo kwa vitendo)then baadae umeamia kwa chama ukiwa na taswira tofauti hapo ndo akawa anamchambua ova anasoma mashairi ya taarabu
Inshort mi nimeona km mtoto wa mkulima kaamua kutishia nyau nyama maana yy(ulimboka) km kiongozi wa chama cha madaktari lazima awe ndo mtu wa mwisho kutoa maamuzi magumu ya chama chake yaani maadhimio yanayofikiwa na chama yy ndo anakua mtu wa mwisho kuyaimplement so kumsema yy binafsi naona anajipunguzia mvuto kwa jamii maana ule si msimamo wake binafsi ni msimamo wa chama na yy ni kiongozi anayesikiliza kile kinachoafikiwa na walio wengi kwenye chama.
Well said mkuu!nitaigongea like hii kitu when i get home