Yani kwenye katiba mpya lazima viongozi wote wapimwe akili, uwezo wa kufikiria na kujitambua, yani bure kabisa anaacha solve tatizo anatoa vitisho, yani huyo sijui huwa anafikiria nini ndio maana mpaka huwa analia lia bungeni
|
| |
|
Hakuna cha personal attack aliyofanyiwa, unaijuwa personal attack ya Serikali au unaisikia tu?
Askofu una Mikwala Sana hebu tuwekeeni Ushahidi tujue nani ni mkweli au tuna Waziri Mkuu Kilaza kama Mkuu wa Kaya... Hii Chichiem imezalisha Mashetani badala ya Viongozi.. Vyombo vya Dini kemeeni hawa Magaddafi ya TanzaniaNamjua nje-ndani Dr Ulimboka;ni Dr wa ukweli mwenye cheti;Pinda kama kasema hivyo basi kaongopa tu kufuatia kiwewe cha mgomo!By the way kama hana cheti ilikuaje apelekwe intern?Usipomaliza intern ndiyo unakuwa siyo Dr?Kipi kinatangulia kati ya kuapa kiapo cha uaminifu kuwa Dr au intern?
Pinda hajui asemalo na ni aibu kwa kiongozi wa level ya MP kuwa muongo!
Contradicting statements: i. Alisimamishwa kama nani? Muuza mitumba?Msingi wa yote ni kiburi cha madaktari kukataa wito wa mkubwa. Ndipo watanzania tumejulishwa Dr. Ulimboka mtu gani:
1. 2005 aliongoza mgomo Muhimbili
2.. Akasimamishwa na kupewa onyon kali na MAT
3. 2006 Rais akampa msamaha
4. Aliandika barua kwa MAT kuomba msamaha na kuahidi atajihusisha tena na migomo
5. Rekodi zinaonyesha mafunzo ya intern hajamaliza
6. Hana cheti cha udaktari
7. Ni mfanyakazi wa NGO ya UKIMWI
Hapo Pinda asilaumiwe bali Ulimboka ahukumiwe kwa kuwaburuza madaktari
Ole wenu Dr Ulimboka apotee Pinda nI mjinga kuliko tumjuavyo
Taaluma si cheti, Ulimboka ana elimu ya udaktari...no matter amepokonywa leseni ya udaktari ila nikienda kwake atanipa tabibu ya maradhi yangu. Kuna mwalimu mmoja alifukuzwa kazi na kufutiwa cheti chake akihusishwa na kuvujisha mitihani. Huyo mwalimu ni hazina kubwa kwangu kwani alikua na darasa la tuition! Amewasaidia watu wengi hasa A'level kanda ya Dsm. Kinachomata hapa si leseni wala vyeti, JE taaluma hiyo ya udaktari anayo kichwani?!
Kama Huyu Pinda kwa kauli yake basi watanzania tumepinda na sichelei kusema sisi ni taifa la wajinga
Bado sijaona kosa la Pinda