Personal attacks kwa Dr. Ulimboka zimeanza! Waziri mkuu kadhihirisha utendaji duni

Unajua ni ngumu sana kuzuia hisia ama speculations yanapotokea mambo kama haya hususan kwa watu maarufu kama dr ulimboka mzee,kuna watu mpaka leo wahisi na wanaamini mbowe ndio alipanga njama za mauaji ya marehemu Chacha wangwe na watu hao hata uwaeleze nini tofauti na hisia zao hawawezi kuamini lakini hiyo haihalalishi moja kwa moja kwamba freeman mbowe kweli anahusika in one way or another na kifo kile,kwa hiyo hisia za wananchi haziepukiki lakini kama great thinker tunatakiwa kuishi na facts kuliko hisia za wananchi ambazo hazizuiliki

Uhai wa watanzania si kitu cha kuchezea kwa mtu awaye yoyote yule na siamini kama nasukumwa na hisia. Hili la mdaktari siasa na ubabe umelikuza tatizo. Unajua taasisi nyingi za umma kama TRA, Polisi etc mara nyingi mambo yao yanaendeshwa kwa ubabe ubabe wakitegemea hakuna namna mtu aliye nje ya utawala atakataa lolote wanalolifanya. Look at the mess...we have spilled all over. Tulipo sasa tujifunze kushusha egoes zetu na kutambua nafasi za watu wengine ili tuijenge nchi. Kila taasisi na mwananchi anaowajibu wa kuchangia ujenzi wa Taifa hili..
 
We vipi? No research, no right to speak! Chunguza kwanza ujue Dr. Mkopi ni wa chama gani na Ulimboka ni wa chama gani kati ya hivi: Jumuiya ya Madaktari Tanzania au Chama cha Madaktari (MAT).

Kwa nini Madaktari wanakua na MULTIPLE vyama katika nchi moja? Kwa nini Madaktari ambao wako kwenye NGOs ambao wengi wao wanalipwa na UN AGANCIES na mashirika mengine ya Kimataifa wanawapotosha wenzao kudai a tall order ambayo Serikali haiwezi kumudu kulipa! Je hilo awalijuhi?

Wanataka kutueleza kwamba walio goma wakiharibikiwa wenzao watakuwa na uwezo wa kuwatafutia ajila kwenye Agencies HIZO?
 
Arvin sloane,


Whether Dr.Ulimboka ni mfanyakazi wa serikali au siyo is immaterial. Jambo la msingi hapa ni kwamba kuna serious and genuine issues to be discussed between Doctors and the Govt. Hii ya Dr.Uli cjui ni mfanyakazi wa serikali au siyo ni kushindwa kufikiri nje ya box. Always try to think deep.

Viongozi wa vyama vya WAFANYAKAZI MARA NYINGI SIYO LAZIMA WAWE WAFANYA KAZI KATIKA IDARA YA CHAMA HUSIKA. Vyama vya wafanyakazi mara nyingi huajiri mtu hata kutoka nje kabisa ya tasnia husika ingawa pia wanaweza kuwa na utalaamu katika tasnia husika ya vyama vya Wafanyakazi wanavyo viongoza.

Dr.Ulimboka anaweza kuwa hayuko kwenye Serikali lakini ni Daktari katika sekta binafsi au retired Doctor.Hiyo haimuondolei haki ya kuwa kiongozi wa Chama cha Madaktari wenzake. Kumbukeni kuna madaktari katika hospitali za serikali na wale wa hospitali za binafsi wote ni madaktari wana haki ya kuchagua kiongozi wao kutoka pande zote.[/QUOT
makoye2009 waachie madaktari walioajiliwa na serikali watatue mgogoro wao kama yeye yupo sekta binafsi aapiganie maslahi ya sekta binafsi ambayo yatamfaidisha yeye na familia yake ndio maana mgogoro haushi.
 
Last edited by a moderator:
Kutokuwa mfanyakazi wa sehemu hiyo hakumzuii mtu kuingia kwenye negotiations za sehemu husika. Wafanyakazi husika wanaweza kukuchagua/kukuteua kuwa mwakilishi wao katika majadiliano hayo, ili mradi uamuzi huo uwe umeridhiwa na wengi.

Kwa mfano ukiangalia majadiliano mengi ya hali bora za kazi, wafanyakazi wa makampuni/mashirika mengi huwa wanawakilishwa na watu kutoka kwenye ofisi za vyama vya wafanyakazi, ambao huwa si wafanyakazi wa maeneo hayo. Hata sheria ya kazi imeruhusu hilo.

Kabla ya kulaumu, ni vema mkazielewa sheria za kazi kwa undani hasa kipengele kinachohusu majadiliano ya hali bora za kazi/sifa za wajumbe wa "Negotiation team" na vyama vya wafanyakazi ambavyo vipo kisheria.
 
Hayo ndio matunda ya kusomea propaganda bulgaria na urusi,lazima ashambuliwe personal ili kuwarubuni wengine wamuone hafai na wananchi wazidi kumchukia,swala ni nani aliyempiga?Mbona tunaanza kusahaulishana yaliyotokea?
 
Wewe unabwabwaja tu!!!! Nilitaka nifuatilie hoja zako kumbe bure, ulianza kama mtoa hoja, Nilidhani mtu wa maana kumbe bure, unatukana wenzako. Jenga hoja acha ad hominen arguments


Ha ha h ah ah ah ah ah Nyie ni ma
jamabzai na siku zenu zinahesabika mtaua sana lakinia hamtatumaliza watu wote wenye nia safi na Ndio maana Mwenyezi Mungu alimfufua Dr Ulimboka kutoka kwa wafu kwa malengo yake he has a mission to accomplish

Siachi kuiita hii serikali kuwa ni dhalimu hapa hakuna tena propaganda ohhh sijui wamerudi kazini ohh sijui nini lakini ukweli mnaujua leo bungeni naona mliwatuma waigize hahaha eyti wamerudi na tv yenu TBC 1
Mfanyakazi kuaacha kazi ni haki pia kugoma kama mazingira ya kazi hayamridhishi


Nyie wote hapa ni majambazi na serikali yenu iliyong'angánia hoja ya siijui mishahara mishahara na kuacha hoja zingine muhimu ambazo wamekuwa wakizikimbia kila siku mnakimbilia kwenye TV kulia lia na kusema ETI SISI HATUUUAGI WALA HATUJAUWA CHA MOTO KINAKUJA HILI NI TRELA TU....

na usitegemee mimi na wengine kama mimi kuwa wapole wakati tayari mmeisha anza kumwaga damu wazi wazi ambayo lazima mtailipa nakwambia

Huuu ni mwanzo tu tunatengeneza list yenu hadi vilembwe vyenu tutaviwinda nakwambia tupo serious zaidi ya sana list inaandaliwa sasa na itafanyiwa kazi kwa vizazi na vizazi Damu ya Dr ulimboka lazima ilipwe hapa hapa duniani..

AM TIRED OF TRANQUILTY NOW WE WANT PEACE AT ANY COST AND THIS IS A GESTURE TO YOU BANDITTAS
 
nimeshangazwa sana na kauli wa waiziri mkuu kufuatilia personal profile ya dr. ulimboka.

updates
- alichokisema waziri mkuu:

kaeleza jinsi Dr. Ulimboka alivyowahi kuongoza mgomo wa madaktari nchi nzima mwaka 2005. Aeleza pia kwamba kumbukumbu hazioneshi kwamba Dr Ulimboka alimaliza internship hospitali ya muhimbili. Kaenda mbali pia kusema amepewa barua ya Dr Ulimboka kwenda chama cha madaktari kukiri kutojihusisha na ushawishi wowote kwenye masuala ya migomo mwaka 2005 baada ya kusamehewa na Rais asifutiwe uanachama wake.



Tukisema serikali inahusika mnabisha,angalia sasa wameanza kuropoka,ipo siku watasema wenyewe nani alihusika.Kweli nimeamini damu ya mtu nzito,imeshaanza kuwadhuru,mh hatari.Hivi wakati wanajadiliana naye hawkujua CV yake?Hata sungura alipozikosa ndizi alisema sizitaki mbichi hizi.


MAFILILI
Today 22:22
#9 JF Senior Expert Member Array


Join Date : 28th April 2011
Posts : 489
Rep Power : 341


icon1.png
Re: ni sahii waziri mkuu kusoma profile ya mtumishi hadharani


Msingi wa yote ni kiburi cha madaktari kukataa wito wa mkubwa. Ndipo watanzania tumejulishwa Dr. Ulimboka mtu gani:
1. 2005 aliongoza mgomo Muhimbili
2.. Akasimamishwa na kupewa onyon kali na MAT
3. 2006 Rais akampa msamaha
4. Aliandika barua kwa MAT kuomba msamaha na kuahidi atajihusisha tena na migomo
5. Rekodi zinaonyesha mafunzo ya intern hajamaliza
6. Hana cheti cha udaktari
7. Ni mfanyakazi wa NGO ya UKIMWI

Hapo Pinda asilaumiwe bali Ulimboka ahukumiwe kwa kuwaburuza madaktari

Damu ya mtu nzito,wameanza kuropoka hata siku haijaisha,muda si mrefu watatajana tu nani aliktumia koleo kumbana na nani ali engineer
 
Kwa nini Madaktari wanakua na MULTIPLE vyama katika nchi moja? Kwa nini Madaktari ambao wako kwenye NGOs ambao wengi wao wanalipwa na UN AGANCIES na mashirika mengine ya Kimataifa wanawapotosha wenzao kudai a tall order ambayo Serikali haiwezi kumudu kulipa! Je hilo awalijuhi?

Wanataka kutueleza kwamba walio goma wakiharibikiwa wenzao watakuwa na uwezo wa kuwatafutia ajila kwenye Agencies HIZO?

Hueleweki. Hujasoma jinsi ya kuandika insha? Ongelea point moja kwa wakati mmoja. Ongelea kwanza chama cha madaktari na jumuaia ya madaktari kwa ufasaha. Ukimaliza ndipo uongelee madaktari wanaofanya kazi kwenye NGOs na International organisation. Au unataka kutuambia kuwa Jumuia ya madaktari ni shirika la UN? UN na mgomo wapi na wapi. Nikikuambia kuwa uko narro and short minded utalalamika?
 
Hueleweki. Hujasoma jinsi ya kuandika insha? Ongelea point moja kwa wakati mmoja. Ongelea kwanza chama cha madaktari na jumuaia ya madaktari kwa ufasaha. Ukimaliza ndipo uongelee madaktari wanaofanya kazi kwenye NGOs na International organisation. Au unataka kutuambia kuwa Jumuia ya madaktari ni shirika la UN? UN na mgomo wapi na wapi. Nikikuambia kuwa uko narro and short minded utalalamika?

Mkuu, kwanza sijakulazimisha kunijibu! Pili nakushauri ujifunze kutumia lugha yenye staha (civil) it doesn't cost you a penny kuheshimu binadamu wenzako jamvini. Nadhani ni wewe peke yako jamvini ambaye unajifanya "kutatizwa na nilicho uliza", wala sitashangaa kama wewe sio mmoja wa hao misguided spoilt brat!! Hata lugha yako is a spitting image of your true self; labda ninkukumbushe kwamba mimi sikukimbia hesabu kama wewe - majivuno na jeuri tu, wewe ni mmoja ya walee ambao hawajali binadamu wenzenu. Wenzako wenye kuona mbali wamepiga moyo konde wakarudi kazini, wewe unabaki na ngojera zako kwa kuwapotosha wenzako! Si hilo tu, hata majibu yako yanaonyesha wazi wazi kwamba kisaikolojia bado akili zako zinaishi kwenye DREAMLAND (a road to EL DORADO to be precise) na hilo wala alihitaji weledi wa father of psychoanalysis "Sigmund Freud" kujua your deep seated skewed TRAITS. Temper zako zinaishia kwenye name CALLING badala ya kujibu hoja!

Nilicho uliza humu kiko crystal clear - sina shaka you knew what was was coming there after ndio maana ukajihami na uncalled for ouburst, trail brazing like a drunken comet!!!
 
Tatizo mmezoea kupigiana makofi hampendi kuwa challenged mnataka watu wote wafikiri na kuamini kama nyie ndio mana mnapata tabu,jaribuni kupima mambo na kupokea challenge,msikaririshwe,mtakua great thinker wa kweli siku moja

Well said, well done MKUU.
 
Back
Top Bottom