hwa mahousegirl watatuua mwaka huu..just imagine anaenda na mumeo kupima kabisa ili wajihalalishie...si mama mwenye nyumba atapewa sumu hapo jamani?...huu mwaka hautaisha bila huyo mama kufa nakwambia..
Kwa muktadha wa hii hoja huyu bwana atakuwa kaoa tu..
Ingekuwa hajaoa asingelileta kwa mtindo huu...
Kwanza wanawake tunaooa these days kiburi sana penzi anakupangia ratiba mara denja mara mwezini,hao mabeki tatu ndio wenyewe mshahara umlipe halafu aliwe na madere wa boda2 no kula tunda mwana jiachie tena saomtime pangeni mtoko mpeleke hotel za ufukweni na yeye akaione dunia
mabeki 3 ni watu sawa na wake zetu nao wanahitaji. wake zetu wamezidi kiburi kia kazi beki tatu wao wamegeuka malkia.
Waoeni basi kwa sababu hawana kiburi.Mwanamke ukimtimizia haja zote hawezi kuwa na kiburi